mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Tena ingemjengea heshima.
Sasa ona anavyodhalilishwa,Tena eti CCM ndio wanaomuunga mkono!!??
Daaa!
Sasa ona anavyodhalilishwa,Tena eti CCM ndio wanaomuunga mkono!!??
Daaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti kwenye Uchaguzi wa kanda alikua team WenjeAnampa somo kwa vitendo, boss wake.
mpambanaji hakati tamaa unaonekana ulikuwa kimaslahi umeyakosa unaamua kuachia ngazi huna lolotteMwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema
Kwanini na yeye asingekamia kama mbowe vijana wanaachia ngazi wazee wanataka kufia madarakaniMwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema
Mbowe naye aigeMwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema
Jamaa anaijua siasa snAmepiga hesabu vizuri Sana atakuwa na 35 yrs.
Atakuwa na muda mzuri wa kufanikisha mambo mengine muhimu na Kama sio Magufuli angekuwa Mbunge huyo kijana
Kahofu chama kitachukuliwa na maria spaceHuyu wa juzi juzi kafanya jambo la kistaarabu na hekima ila kuna mtu ana miaka 20 anataka hadi angolewe kwa kwa fedheha.
Viongozi wa kitanzania ni wagumu sana kwenye suala la uwajibikaji( kuachia ngazi)
Ukiona hivyo hanufaiki na chamaKwanini na yeye asingekamia kama mbowe vijana wanaachia ngazi wazee wanataka kufia madarakani
Lazima kutakuwa na biashara ya siasaKabisa, angebaki kuwa mshauri tu na kuandaa vijana kushika msukani
Umesoma katiba ya Bavicha au umekurupuka tu 😂mpambanaji hakati tamaa unaonekana ulikuwa kimaslahi umeyakosa unaamua kuachia ngazi huna lolotte
Kwaiyo mbowe ananufaika?Ukiona hivyo hanufaiki na chama
Asingeng'ang'aniaKwaiyo mbowe ananufaika?
Kuna chawa wa Mbowe wanakiharibu sn chama chetuChadema I loved u so much but kwa sasa ni chama hovyo tu
Mwisho miaka 35, muwe mnasoma katiba za vyama kabla ya kucommentmpambanaji hakati tamaa unaonekana ulikuwa kimaslahi umeyakosa unaamua kuachia ngazi huna lolotte
List manufaa anayoyapata na ushahidiAsingeng'ang'ania
Mikopo ya kukopesha chama bila makubaliano ni nini? 2010-2020 chama kilikuwa kinapata ruzuku ya zaidi ya 400M per month nje na michango kibao, kwanini hakikujenga vitega uchumi kama apartments Dom hata 100 kila moja chama kikawa kinavuta 200K x 100 = 20,000,000 per month?List manufaa anayoyapata na ushahidi
Ningekushangaa sana kama ungezikataa pesa za mama Abdul huko CCM unakoelekea kumfuata Msigwa na January ilivyokuwa na ukame wa pesa. Umepiga hesabu vizuri kamandaMwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema