LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu amesema amepita kwenye ofisi kadhaa huko Newala na kukuta ofisi zimefungwa. Akitolea mfano Kijiji cha Mnyambe, Kata ya Mnyambe ambapo mpaka saa saba mchana, msimamizi wa uchaguzi alikuwa amefunga ofisi na kukimbia. Ameongeza kuwa mgombea kupitia CHADEMA ameshajaza fomu lakini ameshindwa kuirudisha kutokana na msimamizi huyo kutokuwepo ofisini.





Wakuu Je, CCM wanaogopa wapinzani kuchukua fomu?
 
Figisu zinaendelea..

Anaandika John Pambalu mwenyekiti wa Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) taifa kupitia ukurasa wake wa X

"Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wote wa vijiji vya jimbo la Newala vijini,wilaya ya Newala wamekimbia ofisi zao. Hii ni ofisi ya kijiji cha Mnyambe."

 
Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini
 
Mlisema Magufuli ni DIKTETA, sasa pambaneni na samia ambaye sio dikteta.

Watanzania wote wenye akili hawawezi kuisapoti CHAGADEMA.

CHAGADEMA ni wahuni hawajielewi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Anaandika John Pambalu mwenyekiti wa Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) taifa kupitia ukurasa wake wa X

"Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wote wa vijiji vya jimbo la Newala vijini,wilaya ya Newala wamekimbia ofisi zao. Hii ni ofisi ya kijiji cha Mnyambe."

View attachment 3139107
ccm bhana wameweka mpira kwapani walifikiri chadema imekufa kumbe ndo kwanza ngoma mbichi. watendaji wengi ni makada wa ccm
 
Figisu zinaendelea..

Anaandika John Pambalu mwenyekiti wa Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA) taifa kupitia ukurasa wake wa X

"Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wote wa vijiji vya jimbo la Newala vijini,wilaya ya Newala wamekimbia ofisi zao. Hii ni ofisi ya kijiji cha Mnyambe."

View attachment 3139107
Viongozi wa Mnyambe! Yale yale yameanza. Mahakama inatakiwa ifunguke ijue kabisa haki haiwezi kutendeka kwa wasimamizi wa aina hii! CHADEMA na nyie kuweni katili, ofisi zote mnazokuta zimefungwa pigeni kiberiti! Zote mnazilipua kwa wakati mmoja
 
Naona CCM wameamua kutumia zile mbinu alizoasisi Fashist Magufuli za watendaji kutokuwepo ofisini kukwepa wagombea wa Chadema kuchukua form, wanaccm kuchukua form kwa kujifanya wao ni wana chadema, kuharibu form wakati wa kurudisha nk. Ni dhahir wamenusa kushindwa ndiyo maana wanafanaya hivyo kama wanajiamini kwa nini wafanye upuuzi huu?
 
Naona CCM wameamua kutumia zile mbinu alizoasisi Fashist Magufuli za watendaji kutokuwepo ofisini kukwepa wagombea wa Chadema kuchukua form, wanaccm kuchukua form kwa kujifanya wao ni wana chadema, kuharibu form wakati wa kurudisha nk. Ni dhahir wamenusa kushindwa ndiyo maana wanafanaya hivyo kama wanajiamini kwa nini wafanye upuuzi huu?
 
Naona CCM wameamua kutumia zile mbinu alizoasisi Fashist Magufuli za watendaji kutokuwepo ofisini kukwepa wagombea wa Chadema kuchukua form, wanaccm kuchukua form kwa kujifanya wao ni wana chadema, kuharibu form wakati wa kurudisha nk. Ni dhahir wamenusa kushindwa ndiyo maana wanafanaya hivyo kama wanajiamini kwa nini wafanye upuuzi huu?
 
Tafuteni kazi nyingine ya kufanya,wenyenchi hawataki mfanye siasa
 
Naona CCM wameamua kutumia zile mbinu alizoasisi Fashist Magufuli za watendaji kutokuwepo ofisini kukwepa wagombea wa Chadema kuchukua form, wanaccm kuchukua form kwa kujifanya wao ni wana chadema, kuharibu form wakati wa kurudisha nk. Ni dhahir wamenusa kushindwa ndiyo maana wanafanaya hivyo kama wanajiamini kwa nini wafanye upuuzi huu?
 
Back
Top Bottom