LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

LGE2024 John Pambalu: Wasimamizi wa Uchaguzi jimbo la Newala Vijijini hawapo vituoni kutoa na kupokea fomu za wagombea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu amesema amepita kwenye ofisi kadhaa huko Newala na kukuta ofisi zimefungwa. Akitolea mfano Kijiji cha Mnyambe, Kata ya Mnyambe ambapo mpaka saa saba mchana, msimamizi wa uchaguzi alikuwa amefunga ofisi na kukimbia. Ameongeza kuwa mgombea kupitia CHADEMA ameshajaza fomu lakini ameshindwa kuirudisha kutokana na msimamizi huyo kutokuwepo ofisini.

View attachment 3139099


View attachment 3139097
Wakuu Je, CCM wanaogopa wapinzani kuchukua fomu?
Mimi huwa sioni sababu ya Ccm na serikali yake kutangaza uchaguzi maana huwa matumizi mabaya ya pesa za umma. Huu ni sawa na uhujumu uchumi.
Bora kusiwe na uchaguzi wakae wenyewe hadi aatakapo ridhaa ndipo wawe serious na uchaguzi wa kweli
 
Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu amesema amepita kwenye ofisi kadhaa huko Newala na kukuta ofisi zimefungwa. Akitolea mfano Kijiji cha Mnyambe, Kata ya Mnyambe ambapo mpaka saa saba mchana, msimamizi wa uchaguzi alikuwa amefunga ofisi na kukimbia. Ameongeza kuwa mgombea kupitia CHADEMA ameshajaza fomu lakini ameshindwa kuirudisha kutokana na msimamizi huyo kutokuwepo ofisini.

View attachment 3139099


View attachment 3139097
Wakuu Je, CCM wanaogopa wapinzani kuchukua fomu?
Mbinu za kijinga sana
 
Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini
Sasa kwanini visifutwe hivi vyama vya upinzani,uchaguzi ufutwe,dunia ijue kuna CCM tu,au unaonaje?
Halafu hao wanaorudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi na kukuta watu wenye dhamana ya kupokea hizo fomu hawapo,kwanini wasifunguliwe jinai kua wametenda kosa kurudisha fomu,kwani labda hawaruhusiwi,kuliko kuzifunga ofisi kisa urudishaji fomu wa wagombea wa vyama vya upinzani?
Shaurianeni.
 
Sasa kwanini visifutwe hivi vyama vya upinzani,uchaguzi ufutwe,dunia ijue kuna CCM tu,au unaonaje?
Halafu hao wanaorudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi na kukuta watu wenye dhamana ya kupokea hizo fomu hawapo,kwanini wasifunguliwe jinai kua wametenda kosa kurudisha fomu,kwani labda hawaruhusiwi,kuliko kuzifunga ofisi kisa urudishaji fomu wa wagombea wa vyama vya upinzani?
Shaurianeni.
Mkuu kaa kwa kutulia kama moja dawa iwaingie tarehe 27/11/2024
 
Inasikitisha sana.

SGR mmejenga
Madaraja mmenjenga
JNHHP mmenjenga megawatss kama zote
Busisi
Barabara mmejngea km around 2000
Maji bwerere

Sasa mbona mnaogopa uchaguzi?
 
Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini
Walikuwa nyuma kuhamasisha, ila Tamisemi inasema waliojiandikisha ni 31m, wengi kuliko wanaopaswa kupiga kura. Sasa unasimama na idadi ya kupika ama ya kweli ili haya matamania yako yakae vizuri? Ni wendawazimu kusema cdm watapigwa na kitu kizito, wakati hata idadi ya wapiga kura ni ya kupika.
 
Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini

Waambie wafungue ofisi kwanza alafu ulete uzi wako mkuu
 
Walikuwa nyuma kuhamasisha, ila Tamisemi inasema waliojiandikisha ni 31m, wengi kuliko wanaopaswa kupiga kura. Sasa unasimama na idadi ya kupika ama ya kweli ili haya matamania yako yakae vizuri? Ni wendawazimu kusema cdm watapigwa na kitu kizito, wakati hata idadi ya wapiga kura ni ya kupika.
Idadi ya wanaopaswa kupiga kura ni wangapi? Mkuu msitafute visingizio tumewaona toka mwanzo. Hata viongozi wa vyama vya upinzani hawakuwa na morali ya kuposti picha walipokuwa wanajiandikisha tafsiri yake wameshashindwa mapma
 
Hao watendaji wanalipwa Kwa Kodi za Watanzania wote
Hawalipwi na CCM pekee
Wakae ofsini wahudumie watu wote
 
Idadi ya wanaopaswa kupiga kura ni wangapi? Mkuu msitafute visingizio tumewaona toka mwanzo. Hata viongozi wa vyama vya upinzani hawakuwa na morali ya kuposti picha walipokuwa wanajiandikisha tafsiri yake wameshashindwa mapma
Watanzania wapo 62m, kwenye idadi hiyo watu wazima wa kuweza kupiga kira hawapaswi kufika 30, sasa wapo 31 m kwa mujibu wa Tamisemi. Sasa hapo nani hajajiandikisha? Jitahidi kusimama kwenye data za kweli au hizo za kupika. Kama tayari idadi ya wapiga kura ni ya kupika hapo unategemea kuna uchaguzi wa ushindani?
 
Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini
Kisome ulichoandika haraf ujiulize kama wewe ni binadam au kenge
 
Watanzania wapo 62m, kwenye idadi hiyo watu wazima wa kuweza kupiga kira hawapaswi kufika 30, sasa wapo 31 m kwa mujibu wa Tamisemi. Sasa hapo nani hajajiandikisha? Jitahidi kusimama kwenye data za kweli au hizo za kupika. Kama tayari idadi ya wapiga kura ni ya kupika hapo unategemea kuna uchaguzi wa ushindani?
Tulitegemea wapinzani waje na data za uhakika kupinga hoja ya Tamisemi dunia ya sasa ni kama kijiji hadi vijijini watu wanamiliki sim janja.
Nilitegemea data iwe hivi 1. Sensa ya mwaka 2022 idadi ya watanzania walikuwa milion 60+ katika idadi hyo watu wenye sifa ya kupiga kura ni mil 30 au 20 lakini tamisemi wanasem wamejiandikisha wat mil kadhaa hvyo tuna wasiwasi.
Lakini pia kama mgejiandaa mbna ilikuwa ni simpo tu kwa kila kituo cha uandikishaji kulikuwa na mawakala wa vyama vyote na walikuwa wanapewa idadi ya waliojiandikisha kila siku je vyama upinzani walishindwa kujumuisha hizo takwimu? Lakini sio hvyo tu siku ya mwisho majina yte yalibandikwa ni sehemu gani mnaweza kusema data zilipikwa japo hakuna kaz inayokosa changamoto.
Mimi naweza kusema kwamba katika mtaa wangu nilizunguka kata nZima kati ya vituo 40 vya uandikishaji ni vituo 10 tu ndio kulikuwa na mawakala wa vyama vya upinzani maana yake ni nini. Washashindwa asbuhi kabla ya uchaguzi
 
Mama alishatamka kuwa sheria ni zile zile!
Uislamu unasisitiza sana kutenda haki,huo ujinga unamsapoti Mama huoni kama unamdidimiza kupata hukumu nzito na ngumu sana siku atakayokuja kulazwa mwanandani
 
Tulitegemea wapinzani waje na data za uhakika kupinga hoja ya Tamisemi dunia ya sasa ni kama kijiji hadi vijijini watu wanamiliki sim janja.
Nilitegemea data iwe hivi 1. Sensa ya mwaka 2022 idadi ya watanzania walikuwa milion 60+ katika idadi hyo watu wenye sifa ya kupiga kura ni mil 30 au 20 lakini tamisemi wanasem wamejiandikisha wat mil kadhaa hvyo tuna wasiwasi.
Lakini pia kama mgejiandaa mbna ilikuwa ni simpo tu kwa kila kituo cha uandikishaji kulikuwa na mawakala wa vyama vyote na walikuwa wanapewa idadi ya waliojiandikisha kila siku je vyama upinzani walishindwa kujumuisha hizo takwimu? Lakini sio hvyo tu siku ya mwisho majina yte yalibandikwa ni sehemu gani mnaweza kusema data zilipikwa japo hakuna kaz inayokosa changamoto.
Mimi naweza kusema kwamba katika mtaa wangu nilizunguka kata nZima kati ya vituo 40 vya uandikishaji ni vituo 10 tu ndio kulikuwa na mawakala wa vyama vya upinzani maana yake ni nini. Washashindwa asbuhi kabla ya uchaguzi
Kwani idadi ya mawakala ndio idadi ya kura? Au usipokuwa na wakala sehemu maana yake ni kushindwa? Hata hivyo kwa uchaguzi gani boss wa hadi kukupa hizo data? Haya maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura nao unaita uchaguzi?
 
Back
Top Bottom