Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Hebu na wewe wacha kutapika minyoo mbele za watu! Kichwa kidogo mpaka kinakosa ubongo!Chadema msitafute kisingizio tumeona mlivokuwa nyuma kwenye uhamasishaji wakati wa uandikishaji hvyo msubiri kupigwa na kitu kizito.
Nchi hii bora ccm iendelee kuongoza lakini sio hivi vyama visivyojitambua vinataka nini