Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

ah ah ah! PM long proces nikutumie namba yake? Urafiki wetu hauwezi kufa hata ukifanikiwa kumteka
Ahaaaaa nshakusoma, kila nikitaka kupoa unanizingua, ngoja sasa nifanye special task usinitumie namba nitapata, wewe endelea kusubr matokeo, mtu mzima naingia kazini sasa!!!!
 
One has to be direct these days...

Unaweza kuingia kwa gia ya kuoa kumbe mdada kashawezeshwa, hataki kuolewa anakuona gozigozi.
 
Haya, usisahau kurudi

Nimerudi mkuu na mchango wangu ni huu. Naona watanzania sasa tunaanza kuwa na mwelekeo wa kuwa na ndoa /uhusianao wa mkataba. Yaani tutakaa pamoja tukila raha maswala ya mtoto/watoto hamna na mchumba wangu akirudi basi au tukichokana kila mtu achukue time zake . Hii imekaa vizuri kuliko kuja kupeana majukumu ya kuleana pasipo sababu . Hongera kwa kuwa muwazi juu ya hilo
 
Kila la kheri! Kamanda kazi

Nimeghairi it has no tija, najua lazima ufurukute kidume mbele ya mimisa!!! mimisa wewe endelea kumpenda tu manoah ila mwambie aache kuja kwenye anga zangu, mimi ni mwizi wa magari asije akalia bure, ooohhhhh manoah!!!!

Sasa si utaendelea kunipa lifti eehhhh
 
Last edited by a moderator:
Nimerudi mkuu na mchango wangu ni huu. Naona watanzania sasa tunaanza kuwa na mwelekeo wa kuwa na ndoa /uhusianao wa mkataba. Yaani tutakaa pamoja tukila raha maswala ya mtoto/watoto hamna na mchumba wangu akirudi basi au tukichokana kila mtu achukue time zake . Hii imekaa vizuri kuliko kuja kupeana majukumu ya kuleana pasipo sababu . Hongera kwa kuwa muwazi juu ya hilo

Nashukuru sana kiongozi, Tamatheo njoo msome blea
 
Last edited by a moderator:
uko juu bora umekuwa muwazi, jiandae kwa kazi maana kuna mtu ana sifa zote hizo na atakutafuta.
 
ahahaha! mimi na wewe tena ndugu

Ila mbona juzi nilitaka uniuzie ile noah yako inayofanya route za arusha moshi kiujanjaunja ukanipotezea, nitakuibia ujue, heri uniuzie mapema nisije kukuliza bure, maana hio noah nishaiuza wewe ndio unaniwekea usiku tu!!!!!

nb:
mtandao ikiipenda tu inauzwa ikiwa mikononi mwako
 
UNDENIABLE unamchokoza manoah?...yuko kamili na anajiamini bana
Nimeghairi it has no tija, najua lazima ufurukute kidume mbele ya mimisa!!! mimisa wewe endelea kumpenda tu manoah ila mwambie aache kuja kwenye anga zangu, mimi ni mwizi wa magari asije akalia bure, ooohhhhh manoah!!!!

Sasa si utaendelea kunipa lifti eehhhh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom