Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Nasikia Kichefuchefu kama mchumba yuko JF nae akakutumia Pm hehe
 
Nasikia Kichefuchefu kama mchumba yuko JF nae akakutumia Pm hehe

Mumiiii why tena, nimeharibu wapi? nikisema ukweli nouma, nikisema uongo nouma, sasa nini tena niseme plz niambie!!!
 
hahaha! unashingapi sasa ? ngoja nije pm tubonge biashara mkuu


Ila mbona juzi nilitaka uniuzie ile noah yako inayofanya route za arusha moshi kiujanjaunja ukanipotezea, nitakuibia ujue, heri uniuzie mapema nisije kukuliza bure, maana hio noah nishaiuza wewe ndio unaniwekea usiku tu!!!!!

nb:
mtandao ikiipenda tu inauzwa ikiwa mikononi mwako
 
chezea mimisa na manoah wanvyo pendana uta aibika mkuuu..... ile issue ngoja nije pm

Nyie nouma, kila nikimwaga threat aaah wapi inabuma, ikabidi ninyooshe mikono, poa basi fikiria dili letu lile, mm huku nimeshindwa!!!!!
 
UNDENIABLE unamchokoza manoah?...yuko kamili na anajiamini bana
Nimeghairi it has no tija, najua lazima ufurukute kidume mbele ya mimisa!!! mimisa wewe endelea kumpenda tu manoah ila mwambie aache kuja kwenye anga zangu, mimi ni mwizi wa magari asije akalia bure, ooohhhhh manoah!!!!

Sasa si utaendelea kunipa lifti eehhhh
 
Last edited by a moderator:
ahahaha! umepata PM ngapi paka sasa ivi mkuu za vi mwana wa kujoin na wewe

Nyie nouma, kila nikimwaga threat aaah wapi inabuma, ikabidi ninyooshe mikono, poa basi fikiria dili letu lile, mm huku nimeshindwa!!!!!
 
Back
Top Bottom