Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Teh teh....mambo ya ukweli na uwazi. Inapendeza mkuu. Kila la heri.
 
Mungu wetu tusaidie!! ila bora umesema ukweli mtu ajue mwenyewe tatizo lilipo

Sasa wewe ukiambiwa ukweli unaogopa, basi bora uambiwe uongo ili usiogope!!
Kwan hapa kuna tatizo gani kila kitu kipo straight ahead, hakuna maswali hapa, ili mradi wewe unajitambua and you have a better focus upon your tommorow, waa usiogope kabisa!
 
Over my dead body.

Maneno tu TRICIAmassawe hii ni tz silka na hulka zetu tunafahamiana, you are just on the sam track with me looking for someone, ila nahisi your need is risk than mine, naoan unaongea tu just kuongea, eti over you dead body
 
Last edited by a moderator:
Natafuta mwanamke wa kuwa nae karibu tu sio kuoana......mchumba wangu yupo mbali sana:
Najisikia mpweke mno naumia sanaaaaaaaaaaa hadi basi

Sifa hz hapa mbili:
1.awe na mchumba/mume alie mbali au wawe wameaachana au hana kabisa, km ana watoto poa tu
2.awe anaweza kujimudumu maisha yake mwenyewe, sometimes anisaidie maisha kwa
ushauri au pesa, mm pia nitamsaidia

Karibuni sana!!!!

NB:
Hakuna kuoana ni kustarehe tu!!!!!!!!!!

Unajibiwa kotekote iwe pm au hadharani!!!!!!!!

Tangazo nzuri sana....lipo clear bila chenga, igeni hv jamani so mnaandika matangazo ya kulaghaiana na kuvunjana moyo....hongera sana ndugu yangu!!!!
 
natafuta mwanamke wa kuwa nae karibu tu sio kuoana......mchumba wangu yupo mbali sana:
Najisikia mpweke mno naumia sanaaaaaaaaaaa hadi basi

sifa hz hapa mbili:
1.awe na mchumba/mume alie mbali au wawe wameaachana au hana kabisa, km ana watoto poa tu
2.awe anaweza kujimudumu maisha yake mwenyewe, sometimes anisaidie maisha kwa
ushauri au pesa, mm pia nitamsaidia

karibuni sana!!!!

Nb:
Hakuna kuoana ni kustarehe tu!!!!!!!!!!

Unajibiwa kotekote iwe pm au hadharani!!!!!!!!

nipo kwakweli mambo yakutegemeana yasiwepo ila hela bwana tusipeane me cwez kumuhonga mwanaume hahahahha bt just company am in NA MAPENZI NO ILA HALA HALA USIJE KUNIBADILIKIA HAHAHAHAHA
 
Back
Top Bottom