Join me......just kufurahia maisha........sio kuoana

Nasikia Kichefuchefu kama mchumba yuko JF nae akakutumia Pm hehe
 
Nasikia Kichefuchefu kama mchumba yuko JF nae akakutumia Pm hehe

Mumiiii why tena, nimeharibu wapi? nikisema ukweli nouma, nikisema uongo nouma, sasa nini tena niseme plz niambie!!!
 
hahaha! unashingapi sasa ? ngoja nije pm tubonge biashara mkuu


 
chezea mimisa na manoah wanvyo pendana uta aibika mkuuu..... ile issue ngoja nije pm

Nyie nouma, kila nikimwaga threat aaah wapi inabuma, ikabidi ninyooshe mikono, poa basi fikiria dili letu lile, mm huku nimeshindwa!!!!!
 
UNDENIABLE unamchokoza manoah?...yuko kamili na anajiamini bana
 
Last edited by a moderator:
ahahaha! umepata PM ngapi paka sasa ivi mkuu za vi mwana wa kujoin na wewe

Nyie nouma, kila nikimwaga threat aaah wapi inabuma, ikabidi ninyooshe mikono, poa basi fikiria dili letu lile, mm huku nimeshindwa!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…