Mwenyewe nimetoka kapa hapo lakini sikushangaa manake sie wengine kidhungu chetu ni cha shule za kata sasa nikadhani labda amepiga kiinglish cha inteneshno skulu ndo maana nikatoka kapa!
Huh!! Hakika umenichekesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe nimetoka kapa hapo lakini sikushangaa manake sie wengine kidhungu chetu ni cha shule za kata sasa nikadhani labda amepiga kiinglish cha inteneshno skulu ndo maana nikatoka kapa!
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Kwake yeye hizi ndo akili anazopaswa kuwa nazo mwanamke... kulikuwa na ulazima gani wa kuutangazia umma kwamba anapokuwa na bwana ake chumbani anapenda kukaa uchi... hivi haoni kaka zake akina Constantine wakisoma habari kama hizi involuntarily picha ina-flash vichwani mwao!!!
Wewe hebu futa hii post maana unashambuliwa kama mwizi na kiingereza chako cha mbagala
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
mapenzi yanaweza kukufanya ukavua chupi.....lakini kuyaongelea ya chumbani kwenye chombo cha habari.... .hapa kwwli dimondi.....kakosea.......
Lakini ki ukweli Diamond hana akili hata kama mmeachana ndiyo utoe siri kuwa alitoa mimba?
Jokate amepiga dill 8.2 billion atafute mwanaume mwenye upeo aturie siyo kuonjwa onjwa hivyo
lugha mpya hyo ya mwaka 2015 mwachen bhana, ngoja na mimi nijifunze
Kiukweli alikosea kusema vileee kabisaaaaa, ,japo wote akili zimekutanaaaaa
Mwenyewe nimetoka kapa hapo lakini sikushangaa manake sie wengine kidhungu chetu ni cha shule za kata sasa nikadhani labda amepiga kiinglish cha inteneshno skulu ndo maana nikatoka kapa!
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
Hahahaaaa bas wote hawana akili timamu
Sina hakika kama baba wa Jokate na Constantine ni mmoja lakini kama ndo huyo huyo, duh... yule mzee ni mnoko kishenzi...Hivi hawa wanakuwa na wazazi na ndugu.
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.
What's wrong for Mr.Dangote even if you should detective he was Northing why u have keep trust N.ß Delivery its virtal if you has been thinking creatically.D keep it up 4 way Forward with any awfully matter.