Jokate: Mimi sio malaya

Nakuwekea tena maneno yake mwenyewe screenshot
Hivi unajuwa kuwa kuna binadamu waongo na wakweli? Yeye kuwa ameandika au ametaja, UNADHANI NI USHAHIDI TOSHA KWAMBA ANACHOKISEMA NI CHA KWELI..!? Unamkumbuka KIHIYO na madai yake ya kuwa amesoma DAR TECH..!?
 
Hivi 2000 hadi 2004 ni miaka mingapi..?? Siyo mitano hiyo? Walioanza form one mwaka 2000 hawakumaliza mwaka 2003, form four..?? Au nini kilitokea hadi yeye aanze mwaka 2000 na kumaliza form four 2004?

Jokate form 4 kamaliza 2003... nimeandika na wa 2004 sababu form one huwa anamjua form 2 anaefanya vizuri darasani.. anapopewa zawadi assembly wote tunamuona...ndio maana nikasema waulize waliosoma miaka hiyo.. lazima watakuwa wanamjua.. hata kama hawakuwa darasa moja
 
Hivi unajuwa kuwa kuna binadamu waongo na wakweli? Yeye kuwa ameandika au ametaja, UNADHANI NI USHAHIDI TOSHA KWAMBA ANACHOKISEMA NI CHA KWELI..!? Unamkumbuka KIHIYO na madai yake ya kuwa amesoma DAR TECH..!?

Kwenye post ya jokate.. kataja hadi majina ya madaktari ambao amesoma nao o level.. na wote hao wamekubali alikuwa mkali.. mtu kama jokate ana maadui wengi.. na mkuu wa wilaya . Ataje matokeo ya uongo instagram kwenye page yenye followers zaidi ya milioni.. wasitokee hata watu kazaa wa kupinga na kutoa ushahidi.. watu waliosoma nae wote wanakubali necta o level aliibamiza .. soma screen shot.. na nenda kwenye page yake Instagram ukasome comments.. ama muombe cheti chake..

Page za udaku zote zimekaa kimya.. wambea wote wa insta kimyaa.. mbona bashite watu walimgundua..
 

Attachments

  • 20200720_104837.jpg
    134.1 KB · Views: 3
Kwani haiwezekani mtu anaepeform vizuri katika science akaamua kusoma arts au biashara !!!...
 
Kwani haiwezekani mtu anaepeform vizuri katika science akaamua kusoma arts au biashara !!!...
Mmmmh japo inawezekana kwa % chache sana, lakini inategemea na performance yenyewe ikoje.
 
Mmmmh japo inawezekana kwa % chache sana, lakini inategemea na performance yenyewe ikoje.
Samahani mkuu ila kiukweli bado una mawazo ambayo wengi tulikuwa nayo tulipokuwa O'level maana ilikuwa ni pride na kuonekana una akili ukiwa science. In real life wapo watu wengi tu vichwa kuliko wengi waliosoma science na bado wamesoma arts ama biashara out of choice.
 
Alipata div 1 point 12. Nimetaja masomo machache nayokumbuka maksi zake... sijataja masomo yote .. maana maksi za kiswahili sijaweka, za history sijaweka za civics sijaweka.. naona wewe umejitungia tu kwa kuhisi...
Hapana mkuu nime assume kulingana na wewe ulivyosema ,ulisema kwamba Jokate alipata vizuri sana sayansi hakwenda mkondo huo coz arts ndio alifanya vizuri zaidi.
 
Haya sawa km n hivyoooh.
 
Kweli dada wanakusingizia hata matendo yako yanaonyesha kuwa unajiheshimu
 

Attachments

  • VID-20180728-WA0047.mp4
    2.2 MB
Hapana mkuu nime assume kulingana na wewe ulivyosema ,ulisema kwamba Jokate alipata vizuri sana sayansi hakwenda mkondo huo coz arts ndio alifanya vizuri zaidi.

Niambie wapi nimesema hakwenda science sababu arts alifanya vizuri sana.. tangu comment yangu ya kwanza nataja matokeo ya science tu na herufi naweka.. masomo ambayo nimeyataja mara nyingi maksi zake ni matatu tu. Ambayo ni ya science tupu.. na hata attachment niliyo add ya maneno ya jokate inaongelea hayo matatu ya science.. nikasema alienda arts sababu ya uamuzi wake.. na hata yeye ameandika hivyo hivyo..
 
Mantic ya kubiashana na jamaa haujui ilikuwa nini? Yeye ameshangaa iweje mtu afaulu sayansi vizuri kisha aende Arts,jamaa akasema kwamba atakuwa kadanganya hapo ndio ubishani ulipoanza , wewe ukajibu kwamba alipenda kwenda arts hata huku napo alifanya vizuri ukatolea mfano somo la English kwamba alipata A ,mie ndio nikaingia kuuliza kama hata huko arts alifanya vzuri basi possible alipata Div I ya 8 nika Assume Arts alipiga A zote!! Kama hakupata A huko Arts basi alikuwa Mzuri kwenye sayansi kuliko Arts!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…