Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hivi unajuwa kuwa kuna binadamu waongo na wakweli? Yeye kuwa ameandika au ametaja, UNADHANI NI USHAHIDI TOSHA KWAMBA ANACHOKISEMA NI CHA KWELI..!? Unamkumbuka KIHIYO na madai yake ya kuwa amesoma DAR TECH..!?Nakuwekea tena maneno yake mwenyewe screenshot
Hivi 2000 hadi 2004 ni miaka mingapi..?? Siyo mitano hiyo? Walioanza form one mwaka 2000 hawakumaliza mwaka 2003, form four..?? Au nini kilitokea hadi yeye aanze mwaka 2000 na kumaliza form four 2004?
Hivi unajuwa kuwa kuna binadamu waongo na wakweli? Yeye kuwa ameandika au ametaja, UNADHANI NI USHAHIDI TOSHA KWAMBA ANACHOKISEMA NI CHA KWELI..!? Unamkumbuka KIHIYO na madai yake ya kuwa amesoma DAR TECH..!?
Kwani haiwezekani mtu anaepeform vizuri katika science akaamua kusoma arts au biashara !!!...Poleeeeeeeeh sana, nilitoka shule ya o, level (single sex) kwa div 1 ya 11 points, na kuchaguliwa shule ya vipaji maalumu PCM, ambapo chemistry na Mathematics nilipata A, huku physics B,
Ugumu wa hayo masomo naujua in and out, ndo maan siwez kuamini kirahisi eti kwa hayo matokeo na kuchaguliwa special school kwa PCB akatae, it's ouk n sawa kwao kuna pesa ilishindikana vipi yeye kwenda private kusoma PCB?
Haiwezekani kuwa future ake alilenga kusoma Arts advance huku aki perform vizuri kweny science, inaingia akilini tena kwa expose ya science hadi arts mmmh.
Kuwa dada mkuu na kuperform vizuri kweny science inahusiana vipi? Inategemea na na mambo mengi kwa muhusika hadi kuwa kiongozi wa juu ktk shule nje ya hivyo.
Kwa kumaliza utata naomba niletee matokeo halisi ya huyo jokate kwa level ya ordinary, sio maelezo yake yeye wala sijui wanafunzi wenzake walisema hivi na vile na blah blah nyingine. Nahitaji matokeo halisi ya huyo jokate ili tumalize utata. Hope utakuwa umeelewa .
Mmmmh japo inawezekana kwa % chache sana, lakini inategemea na performance yenyewe ikoje.Kwani haiwezekani mtu anaepeform vizuri katika science akaamua kusoma arts au biashara !!!...
Samahani mkuu ila kiukweli bado una mawazo ambayo wengi tulikuwa nayo tulipokuwa O'level maana ilikuwa ni pride na kuonekana una akili ukiwa science. In real life wapo watu wengi tu vichwa kuliko wengi waliosoma science na bado wamesoma arts ama biashara out of choice.Mmmmh japo inawezekana kwa % chache sana, lakini inategemea na performance yenyewe ikoje.
Hapana mkuu nime assume kulingana na wewe ulivyosema ,ulisema kwamba Jokate alipata vizuri sana sayansi hakwenda mkondo huo coz arts ndio alifanya vizuri zaidi.Alipata div 1 point 12. Nimetaja masomo machache nayokumbuka maksi zake... sijataja masomo yote .. maana maksi za kiswahili sijaweka, za history sijaweka za civics sijaweka.. naona wewe umejitungia tu kwa kuhisi...
Haya sawa km n hivyoooh.Samahani mkuu ila kiukweli bado una mawazo ambayo wengi tulikuwa nayo tulipokuwa O'level maana ilikuwa ni pride na kuonekana una akili ukiwa science. In real life wapo watu wengi tu vichwa kuliko wengi waliosoma science na bado wamesoma arts ama biashara out of choice.
Kweli dada wanakusingizia hata matendo yako yanaonyesha kuwa unajiheshimuMWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi .
Akizungumza na mwanahabari wetu, Jokate alisema amekuwa akipata malalamiko kutoka kwa watu wengi kuwa kampani yake kubwa ni wanaume hadi wengine kumuona ni malaya wakati si kweli .
"Watu wengi wanasema mimi malaya kwa sababu ya ukaribu wangu na wanaume lakini ukweli ni kwamba kampani yangu ya kike kubwa ipo nje ya nchi , sina jinsi, " alisema Jokate.
Hapana mkuu nime assume kulingana na wewe ulivyosema ,ulisema kwamba Jokate alipata vizuri sana sayansi hakwenda mkondo huo coz arts ndio alifanya vizuri zaidi.
Mantic ya kubiashana na jamaa haujui ilikuwa nini? Yeye ameshangaa iweje mtu afaulu sayansi vizuri kisha aende Arts,jamaa akasema kwamba atakuwa kadanganya hapo ndio ubishani ulipoanza , wewe ukajibu kwamba alipenda kwenda arts hata huku napo alifanya vizuri ukatolea mfano somo la English kwamba alipata A ,mie ndio nikaingia kuuliza kama hata huko arts alifanya vzuri basi possible alipata Div I ya 8 nika Assume Arts alipiga A zote!! Kama hakupata A huko Arts basi alikuwa Mzuri kwenye sayansi kuliko Arts!!Niambie wapi nimesema hakwenda science sababu arts alifanya vizuri sana.. tangu comment yangu ya kwanza nataja matokeo ya science tu na herufi naweka.. masomo ambayo nimeyataja mara nyingi maksi zake ni matatu tu. Ambayo ni ya science tupu.. na hata attachment niliyo add ya maneno ya jokate inaongelea hayo matatu ya science.. nikasema alienda arts sababu ya uamuzi wake.. na hata yeye ameandika hivyo hivyo..