Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Tupishe apa , asiyekujua nani, nfyuuuu
Hebu mfuate pale kisarawe umuambie akupishe, tena umalizie na hicho kibwagizo halafu uje na picha uzipandishe kwenye huu uzi..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupishe apa , asiyekujua nani, nfyuuuu
Kigogo kumbe uliwahi wepo humu!?Asingekuwa malaya angejazwa mimba na domo? Asingekuwa malaya si angeacha mimba ya domo azae...mxxxxxx atulie ameze mbaazi kuvuta muda wa kuishi
Huyu nae hana tofauti na mtu aliyechanganyikiwa!
Kwann chakubanga mkubwa hampi raha ?Ataishia kushika hela lakini hatokuwa na raha nazo, upweke
Hana ubavu huoHebu mfuate pale kisarawe umuambie akupishe, tena umalizie na hicho kibwagizo halafu uje na picha uzipandishe kwenye huu uzi..!
Kada hawezi jibu hapaWee kada, bado haya maneno yako unayasimamia?
Wee kada, bado haya maneno yako unayasimamia?
kukili ulijikwaa ni uungwana sana.Hapana huyo ni mkuu wangu nafuta hayo maneno na kwa niaba ya wana Jf naomba radhi
You can't foil the footprintsMWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi .
Akizungumza na mwanahabari wetu, Jokate alisema amekuwa akipata malalamiko kutoka kwa watu wengi kuwa kampani yake kubwa ni wanaume hadi wengine kumuona ni malaya wakati si kweli .
"Watu wengi wanasema mimi malaya kwa sababu ya ukaribu wangu na wanaume lakini ukweli ni kwamba kampani yangu ya kike kubwa ipo nje ya nchi , sina jinsi, " alisema Jokate.
Jokate alilipwa na alikiba na diamond.. kwa ajili ya kiki kama mpenzi wao.. ila hakuna hata mmoja aliewahi kuwa na mahusiano na jokate.. na wala kupata hata busu...
Hayo ni maneno ya jokate mwenyewe tulivyokutana grossary container karibu na ubaloz wa ufaransa oysterbay..
Jokate anasema form 4 alipata div 1 point 12... with A in biology, chemistry, B in physics, A in history, English, Civics etc na akachaguliwa shule ya vipaji msalato PCB. Anasema hizo points tu ni ushahidi tosha yeye sio level ya kudate na bongo fleva artist
Anakwambia walikuja na offer mezani watengeneze kiki.. yeye jokate akatangaza dau wakalilipia.. wakatengeneza kiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jokate hajasoma msalato, kasoma Loyola na comb sio science. Hebu acha uwongo weeeeeehJokate alilipwa na alikiba na diamond.. kwa ajili ya kiki kama mpenzi wao.. ila hakuna hata mmoja aliewahi kuwa na mahusiano na jokate.. na wala kupata hata busu...
Hayo ni maneno ya jokate mwenyewe tulivyokutana grossary container karibu na ubaloz wa ufaransa oysterbay..
Jokate anasema form 4 alipata div 1 point 12... with A in biology, chemistry, B in physics, A in history, English, Civics etc na akachaguliwa shule ya vipaji msalato PCB. Anasema hizo points tu ni ushahidi tosha yeye sio level ya kudate na bongo fleva artist
Anakwambia walikuja na offer mezani watengeneze kiki.. yeye jokate akatangaza dau wakalilipia.. wakatengeneza kiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jokate hajasoma msalato, kasoma Loyola na comb sio science. Hebu acha uwongo weeeeeeh
Teeeh 201Huyu nae hana tofauti na mtu aliyechanganyikiwa!
Na hakuchaguliwa msalato, Uwongo tyuuuh achilia hayo matokeo uliyoyatoa mmmmh.Unajua maana ya kuchaguliwa ?
Kuna sehemu nimeandika amesoma msalato?
Na hakuchaguliwa msalato, Uwongo tyuuuh achilia hayo matokeo uliyoyatoa mmmmh.
Afadhali hata umetoa huo ushahidi ili ujikamatishe vizuri, yaan una amini maneno ya jokate? Angeweka hayo matokeo yake tuone? Kutoka PCB hadi HGL it's real? MsieeeeeeewUshahidi mwingine huu hapa.. biashana na maneno aliyoyaandika jokate mwenyewe
Muulize mtu yeyote aliyesoma St Antony miaka ya 2000 mpaka 2004 balaa la jokate darasani
Alikuwa hadi anapata scholarship ya kkusamehewaada.. Huo utamaduni ulikuwepo st antony.. ukifanya vizuri unasamehewa ada.. jokate alikuwa mmoja wapo katika wanawake vichwa st antony
Afadhali hata umetoa huo ushahidi ili ujikamatishe vizuri, yaan una amini maneno ya jokate? Angeweka hayo matokeo yake tuone? Kutoka PCB hadi HGL it's real? Msieeeeeeew
Yeye alikuwa vizuri kweny English na ndo ulotolea ushahudi na kuweka comb aliyosomea Advance, katafute tena ushahidi wa matokeo yake ya form necta, sio haya maelezo yake ya kuji proud. Khaaaaaaah