petrinamwana
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 900
- 345
Aka nako kama kachawi vichawi vishauo mkolobwezo kamepoteza mvito basis tabu kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie tulimchokaga tokea St.Anthony sec....yuko radhi afanye chochote ilo kupata umaarufu...anaboa sana.
Tena alitaka kutokea kwa Hashim Thabeet akagonga mwamba.....hayuko sex ila analazimisha tu.
wacha masihara wewe.. mtoto mzuri sana huyo sema ni kwakua sio mchoyo tu. Kama alikupiga cha mbavu huko st. anton weka chuki pembeni..
Binti muimba kwaya wajameni heri angepiga kimya. Nimeshawahi mmbamba pale Giraffe Hotel Lundenga akimuuza yeye pamoja na wenzie wawili kwa mibaba. Huwezi amini there was exchange of cash between L na hiyo mijibaba at the table wakati mabinti wanakamatia pombe zao. Tena siku hiyo kalitapika hovyo toilet mwisho wake akaondoka na lijibaba zee wakimwacha Mzee wa Miss akicheka mezani.
Jojo kwa sasa ni dc wa kisarawe na leo kituo cha tv cha Star TV wamelambwa fine ya kudhalilisha viongozi wa kisarawe.Jokate toka atoke na diamond kapoteza mwelekeo kabisa mbayaaaaaaaaa hiv hakuna wa kukwambia apunguze speed maana anakuja faster
Anahizo tabiaTupishe apa , asiyekujua nani, nfyuuuu
What? Mbaazi!!!!!Asingekuwa malaya angejazwa mimba na domo? Asingekuwa malaya si angeacha mimba ya domo azae...mxxxxxx atulie ameze mbaazi kuvuta muda wa kuishi
Hahaahaaa...Huyu nae hana tofauti na mtu aliyechanganyikiwa!
Mchepuko No 1.Tumekuelewa mama wa Taifa