Jokate: Mimi sio malaya

Jokate: Mimi sio malaya

MWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi .

Akizungumza na mwanahabari wetu, Jokate alisema amekuwa akipata malalamiko kutoka kwa watu wengi kuwa kampani yake kubwa ni wanaume hadi wengine kumuona ni malaya wakati si kweli .

“Watu wengi wanasema mimi malaya kwa sababu ya ukaribu wangu na wanaume lakini ukweli ni kwamba kampani yangu ya kike kubwa ipo nje ya nchi , sina jinsi, ” alisema Jokate.

Sasa sina shaka tena na uwezo wa watanzania, huyu kasema marafiki zake wapo nje ya nchi. Hajasema ulaya kumbuka hata walio hapo jirani kenya, uganda, na msumbiji na nje ya nchi.
Someni tena msije sema mimi nilisaini tu kama viongozi wenu wa inji!
 
mmh watz tunapnda judge bla hta kujiangalia na cc tupoje,
kashasema c malaya unachobisha nn?
ww hubadilishi patners kama ukiona hawafai?
kwann naye asibadlishe kma anaona they are not ryt for her????
hya uo umalaya tunasema ameshadate na wangap mnaowajua ambao si kawaida kiasi kumwita malaya??????
lets us b VE+ saa zngne duh
 
Jaman huyo wa kishua socialization kwa yeyote ni kawaida kwake
 
Asingekuwa malaya angejazwa mimba na domo? Asingekuwa malaya si angeacha mimba ya domo azae...mxxxxxx atulie ameze mbaazi kuvuta muda wa kuishi
 
KWANI ANGEKUWA MALAYA ANGESEMA MIMI MAlaya? ,sisi sio wajinga kama yeye...aolewe kama sio malaya...
 
Ngoja na mimi nijongee kando yake naweza nikapitiwa na huruma na ukarimu wake....naweza na mimi nikaweka historia ya kuogeleamo humo dimbwini hata kama ladha hamna potelea mbali....
 
Jokate toka atoke na diamond kapoteza mwelekeo kabisa mbayaaaaaaaaa hiv hakuna wa kukwambia apunguze speed maana anakuja faster
 
Kweli mama huruma we sio malaya.Sasa ulitaka awe na ubest na Halima Kimwana?
 
Back
Top Bottom