Jokate: Mimi sio malaya

Jokate: Mimi sio malaya

Alikuwaga mtulivu zamani, siku hizi watu wanajutafunia tu kitumbua
 
embu ngoja namimi nimnyemleee anaweza akanitunuku kitumbua:teeth:
 
Siku hizi mkorogo juuuuuuu
Jamani kwenye ile protoko ya Kimani ile kaptula hua inaniua mbavu jamani kama kafungwa nepi
 
Ha ha ha!!ndo fashion sasa

Kuna vikaptula hivi vilaini vizurii niliona kwenye video ya TI na yule dada anaerap duuu ni kali balaa
Sasa hiz zingine mbayaa sijui zinawakaajee,,bora hata hii ya jokate
 
Mtoto mkali huyo balaa, kitu natural no kitaulo
 
ukweli kamili anaujua yeye na Mungu wake tusimshambulie sana
 
Back
Top Bottom