Jokate Mwegelo: Bila Rais Samia kuwa na falsafa ya 4R katika uongozi wake, kuna watu wasingekuwa na jeuri ya kuandamana

Jokate Mwegelo: Bila Rais Samia kuwa na falsafa ya 4R katika uongozi wake, kuna watu wasingekuwa na jeuri ya kuandamana

Sio lazima kila kitu kilichopo kwenye katiba kifuatwe hata kama kinaleta hali ya mtanziko katika jamii..na pia sio kila ambacho hakipo kikatiba basi kisifanyike hata kama kinaleta suluhu kwa jamii.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima kila kitu kilichopo kwenye katiba kifuatwe hata kama kinaleta hali ya mtanziko katika jamii..na pia sio kila ambacho hakipo kikatiba basi kisifanyike hata kama kinaleta suluhu kwa jamii.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Magufuli kutokufuata katiba hali aliyoileta ni sahihi? Walioweka katiba Walijua kuwa wajinga watatumia madaraka yao vibaya ndio maana kukawa na Katiba kwanza kisha Busara
 
Back
Top Bottom