TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Nje ya mada:Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza...
Twende mbele turudi nyuma hii mimba “imemkubali” sana mh DC. Litakua toto la kiume tu hili ndio hua yanachakaza sura kiasi hiki 🤣