Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Kama we domozege afanyeje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maadili ya utumishi wa umma unayafahamu?Uliwahi mchumbia akakugomea? Au mnaishi naye nyumba moja? Vitu vyakushangaza hivi mtu sio ndugu yako unapata wapi ujasiri wakumjadili mtu? Waliomteua wamewajulisha kuwa kafanya kosa, msimuhukumu mtu, mwacheni apate mtoto!
kwahiyo ulitaka akifunga ndoa akuite uje ushuhudie.Mind ur business mzee.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Kwa nini anazini kazini, katika maadili ya utumishi wa umma hili jambo halitakiwi.kwahiyo ulitaka akifunga ndoa akuite uje ushuhudie.Mind ur business mzee.
Ameniambia yeye mwenyewe.We umejuaje hana ndoa my gee?
Amezini ndiyo, tena amezini kweli kweli hadi mimba juu, huku akila kodi zetuYaani Ameamua kbs Kukidharirisha cheo... !
Yaani AMEZINI akiwa kwenye Cheo chenye dhamana Ya Kodi zetu..?
Kwahiyo anakuambia mambo yake private we unakujakuyasema kwa jamii my gee?Ameniambia yeye mwenyewe.
Nimejikuta nacheka mwemyewe Bar.. hivi unaakili timamu mkuu?!!Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Kuna sehemu katika sheria ya nchi au ya uongozi inamtaka Mkuu wa Wilaya au Mkoa kuwa na ndoa? Au kwa ngazi ya Urais tuNakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Acheni maswala ya kijinga kijinga bhn sasa kama vijana ws kuoa hakuna hata ea kutia mimba akose? Mwacheni nae aitwe mama haya kama single maza fresh tu.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Mna uhakika gani hajaolewa?Mwanamke akizaq bila ndoa anajesabika kuwa ni muhuni katika jamii yetu. Ina maanisha anaweza kwenda na mtu yeyote hata mume wa mtu. Sasa haya mambo gani kwa kiongozi ambaye anatakiwa kusimamia maadili