KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kapewe mimba ujue raha yake😅Ww ndo jakate mwenyewe nn? Mbona unajitetea sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapewe mimba ujue raha yake😅Ww ndo jakate mwenyewe nn? Mbona unajitetea sana.
Wewe mwanamke na ww hujaolewa nn? Mbona unawashwa washwa usiku wote huu.Unasahau Rais mwanamke saivi
Kabebe mimba yako kwanza
Askari? TenaAskari
AiseeKwa Lugha rahisi ni kuwa mtoto wa DC wa Temeke hatapata malezi ya baba anaeonekana na majirani.
Tanzania hadi Rahaa, yaani baba wa mtoto atakuwa anakuja ki wizi wizi nyumbani kumsalimia mtoto na mzazi mwenzie huku walinzi wa ghetini wakibashiri huyu ndo atakuwa baba wa mtoto na siyo kusema ndo Mume wake.
WaTanzania tuwe tujitahidi kupima madhara ya kiongozi Kama DC kujizalia tu kama kuku, Sasa wanausalama watakua wanampimaje maadili take?
Awekwe pembeni kwanza akalee mtoto na mzazi huko uchochoroni na si kwenye makazi ya serikali...shenzi type.
Hongera sana kwa kuliona hili, Hii IQ yako uendelee kuitumia vizuri hivi hivi Bwana ruhiKwa Lugha rahisi ni kuwa mtoto wa DC wa Temeke hatapata malezi ya baba anaeonekana na majirani.
Tanzania hadi Rahaa, yaani baba wa mtoto atakuwa anakuja ki wizi wizi nyumbani kumsalimia mtoto na mzazi mwenzie huku walinzi wa ghetini wakibashiri huyu ndo atakuwa baba wa mtoto na siyo kusema ndo Mume wake.
WaTanzania tuwe tujitahidi kupima madhara ya kiongozi Kama DC kujizalia tu kama kuku, Sasa wanausalama watakua wanampimaje maadili take?
Awekwe pembeni kwanza akalee mtoto na mzazi huko uchochoroni na si kwenye makazi ya serikali...shenzi type.
JAKATAAskari? Tena
Ndo mnavyojidanganya hivyo wanawake mwishowe mnaanza kusumbua jamii kuomba misaada ya kulea hao watoto.Kapewe mimba ujue raha yake[emoji28]
AhaaJAKATA
Watu hawajui kuwa mtoto wa kiongozi anahitaji malezi mazuri ili kutunza Siri za nchi anazosikia kupitia kwa mzazi/wazazi wake au anazozipata kwenye nyaraka anazoziona hapo nyumbani?Hongera sana kwa kuliona hili, Hii IQ yako uendelee kuitumia vizuri hivi hivi Bwana ruhi
Mtu kama hajakomaa kifikra na kiakili hawezi kuyaelewa haya mambo.Watu hawajui kuwa mtoto wa kiongozi anahitaji malezi mazuri ili kutunza Siri za nchi anazosikia kupitia kwa mzazi/wazazi wake au anazozipata kwenye nyaraka anazoziona hapo nyumbani?
Waliokuwa wanasema kila mara kuhusiana na madhara ya malezi ya mzazi wa upande mmoja au wazazi kuwa mbalimbali au mzazi asiyeonekana ndiyo wamekuwa vinara wa kutetea vitu vya ovyo.
Au watu hawajui vetting ya wenza kwa viongozi zinafanyika?
Uchafu mtupu.
Ukioa wanawake wa CCM ukapimwe mirembe.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Tena uyo kijana mwennye suti nyeusi ndie hasa kambebesha mimba, wanabemendana sana hawa Maccm ni ukahaba tu ndio umewajaaKatika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.
Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.
Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.
Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.
Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.
View attachment 2290818
Kwamba zinaa kwa sasa zinasababishwa na yeye??Nakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Huna akili hata mojaKwa nini anazini kazini, katika maadili ya utumishi wa umma hili jambo halitakiwi.
We NI mmbeya huna akili hata mojaAmezini ndiyo, tena amezini kweli kweli hadi mimba juu, huku akila kodi zetu