Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818
[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Nimejikuta nacheka mwemyewe Bar.. hivi unaakili timamu mkuu?!!

Ulitaka hiyo mimba upewe wewe au?
Mtu mwenyewe cha pombe upo Bar umelewa unaona nyota tu, mambo ya maadili ya taifa kama katika uongozi utayaelewa vipi.
 
Hakuna kumungunya maneno hatuwezi kuendelea kuongozwa na Kiongozi asiye na maadili ya utumishi, anayetarijiwa Kupata mtoto nje ya ndoa, atawashauri nini na kuwafundisha nini mabinti zetu mashuleni, ambao wengi wao wanamchukulia kama role model wao.

Jamii na Watumishi wenzake anaowasimamia watamchukuliaje?, Kiujumla tayari kapoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.

Mh. Rais tuletee DC mwingine Temeke mwenye maadili ya utumishi.

#Rais teua DC mwingine Temeke
Mkuu acha wivu maadili yapi yaani unaonea wivu mimba ya mtu hii nchi ya ajabu sana
 
Kwa maadili ya mtumishi wa umma especially kiongozi mwandamizi hakutakiwa kuwa kazini. Maana amevunja miiko ya uongozi wa uma. Na hakutakiwa kupewa wadhifa bila kuwa na cheti cha ndoa.

Ila kwasababu tumeamua kuishi kung'ombe ng'ombe wacha iwe hivi ilivyo, tutakuja kujifunza kwa gharama maana maneno ya hekima au busara huwa hatuyaelewi hata kidogo.
Amevunja sheria gani ama ni wivu unakusumbua?

Ndo ataitwa Mama
Mjiandae kulea ma'uncle
 
Kuna sehemu katika sheria ya nchi au ya uongozi inamtaka Mkuu wa Wilaya au Mkoa kuwa na ndoa? Au kwa ngazi ya Urais tu
Maadili ya utumishi wa umma, ili kushika Nafasi za juu inakuhitaji uwe na cheti cha ndoa.
 
Nchi hii ina wananchi wajinga na wanafiki sana ,sasa mahusiano yake yanatuhusu nini kama utendaji wake wa kazi haujatetereka ? Ulitaka akatoe ili aendelee na uongozi ? Na ikiwa alifunga ndoa Bomani au kwa mila ulitaka akuletee vyeti nyumbani kwako ? .Hayo Maadili mnaloona ni hilo tu ,tunapigwa mabilioni ya Pesa mmekaa kimya tu ifike mahala watanzania mjielewe na kujitambua .
Hii nchi ina watu wa hovyo sanaa mkuu
 
Back
Top Bottom