Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi inatoa taswira gani kwa unaowaongoza?

Wabongo bwana.. tuna shida sana. Agongwe mwingine, af akatike na kulia mwingine.
U DC sio life long job, lazima maisha mengine yaendelee. Besides, sidhan kama yeye kuzaa ina tatizo lolote. Af pia ndoa sio matangazo, kama kaamua kufunga kwa siri tutajuaje?
Af pia unafki n mbaya. Mbona yule DC aliemuacha mumewe haukusema anavunja maadili ya umma pia? Maana yule alieenda kuolewa mke wa pili ana tofaut gan na mla rushwa?
Relax bro, komaa na maisha yako. Unaeza kuta unaishi hukoo ifilandama lakn unahangaika na mambo ya temeke.
 
Nakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Basi kwa mantiki hiyo,mwenye shida ni huyo aliyemteua huku akijua ni bachelor
 
Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818
Sina shida na hiyo Mimba yake, ila kwa ninavyomjua Disii sidhani hata kama aliyembambika hiyo Mimba anamjua.
 
Itakuwa ya yule aliyekuwa tamisemi mpaka akala sahani ya baba manusura apigwe chini.

Singo maza waheshimiwe na watu wote
 
Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume ao ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kuzani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818

Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi ameiga tabia mbaya ya Mama Getrude Mongela na Mama Anna Makinda.​

 
Kwa maadili ya mtumishi wa umma especially kiongozi mwandamizi hakutakiwa kuwa kazini. Maana amevunja miiko ya uongozi wa uma. Na hakutakiwa kupewa wadhifa bila kuwa na cheti cha ndoa.

Ila kwasababu tumeamua kuishi kung'ombe ng'ombe wacha iwe hivi ilivyo, tutakuja kujifunza kwa gharama maana maneno ya hekima au busara huwa hatuyaelewi hata kidogo.
suala na ndoa ni jambo binafsi kisiwe kigezo cha mtu kupewa ugali.
 
Nini mkuu wa wilaya. Kuna mawaziri ma singo maza.
Kwanza wakuu wa wilaya masingo maza wako kibao hapa DRC. Wako spesheli kuwaburudisha wenye nafasi zao.
 

Jokate Mwegelo kubeba mimba bila ndoa katika Utumishi ameiga tabia mbaya ya Mama Getrude Mongela na Mama Anna Makinda.​

Hao wote jeuri ndo maan wanazlishwa bila ya ndoa Nan aoe nijimwanamke linajifanya lijuaji kwa elimu ya kujua kingereza na maneno mengi
 
Wiki iliyopita palikuwa na ndoa mbili zilifanyika siku tofauti yaani Wana mimba mabibo harusi wote mpaka ya miezi minne eti ndo wanafungia ndoa kuhalalisha
 
Miongozo ya UTUMISHI wa uma iko wazi kuwa na maadili sio mgomvi sio mzinzi sio mlevi etc. Jokate hana ndoa na hajasajili ndoa. So ni mzinzi akiwa ndani ya UTUMISHI wa uma na amekiuka kiapo cha maadili.
Kwa heshima tuu aondoke mwenyewe vinginevyo anaendelea kuchafua image. Ukiwa kiongozi wa uma huna maisha binafsi. Ukitaka kuzaa zaa hovyo kuzinizini basi usikubali uongozi wa uma mkubwa kama DC, RC.
Bahati mbaya ushahidi wa uzinzi unaonekana zaidi kwa mwanamke kuliko mwanaume. Amekamatwa na ngozi.
UMALAYA HAUKUBALIKI KWENYE UTUMISHI WA UMMA.
Huyo demu kwa wanaomjua hawawezi kumuoa skendo kibao tangu kitambo nan aweke ndani ujuaji mwingi mno hapo vunjabei kapiga na hawezi kumuoa
 
Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume au ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kudhani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818
Ndoa ni hiyari.

Kumbuka sana hilo jambo unapohangaika kumteta mtu kuhusu kutokuwa na ndoa.

Ingekuwa ndoa ni jambo la lazima, basi lingeandikwa katika sheria ya nchi kuwa ni lazima mtu akifikia ngazi fulani ya maisha aoe au aolewe.

Mume au Mke sio nguo kwamba ukiitaka tu unaenda kununua dukani unavaa. Sasa sijui ulitaka maisha yake yasimame kusubiria apate mume?

Na kama ulikuwa hujui mwili wa mwanamke huwa unaanza kudai mimba kuanzia miaka kumi toka avunje ungo. Mwili wa mwanamke unakuwa uko tayari kushika mimba toka anapovunja ungo, kwa hiyo kadiri muda unavyopita bila mimba mwili unachoka kusubiri na unaanza kuidai hiyo mimba kwa nguvu.

Mwili wa mwanamke ukianza kudai mimba maana yake ni kwamba huyo mwanamke ataanza kuumwaumwa matatizo ambayo hayatibiki kwa dawa za kawaida. Maumivu hayo mara nyingi huwa ni ya tumbo, kichwa na miguu.

Sasa akikutana na madaktari wasio na uzoevu na hii ishu (hususani madaktari vijana) basi watakuwa wanamwandikia madawa tu kila anapokwenda hospitali. Madawa hayo yatakuwa yanamdhuru zaidi badala ya kumsaidia.

Ila akikutana na wazoefu tusio madaktari kama mimi, au akikutana na madaktari wazee itafika mahali baada ya kumpa madawa kama mwaka mzima hivi watamwambia ukweli kuwa akashike mimba waone kama matatizo yasiyoeleweka yataendelea.

Na mwanamke hata kama ameshazaa akikaa miaka 10 mingine bila ya kuzaa tena lakini bado anapata hedhi (yaani hajafika menopozi) mwili wake utamdai tena mimba nyingine. Mwili wa mwanamke huwa unachoka kuua mayai kwa kuyageuza kuwa hedhi.

Kwa hiyo Jokate kwa umri wake bila ya mtoto ni kwamba mwili wake umeshamdai sana mimba. Sasa sijui ulitaka aendelee kuumia kisa anasubiri apate mume anayemtaka?
 
Siyo bure jamiiforums imeingiliwa... Kiongozi wetu kuwa mzizi siyo faragha. Ingekuwa faragha hiyo mimba isingeonekana pia. Tukubariane huo ni uzinzi na uhuni FULL STOP

Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh. Jokate Mwegelo kwa sasa ana mimba na anatarajiwa kupata Mtoto, lakini kitu cha kushangaa haijulikani kama ana mume au ameolewa jambo ambalo katika maadili ya utumishi linamshusha hadhi.

Mtumishi wa serikali anayetumikia nafasi kama hii kuzaa bila ndoa haileti mantiki kwani wananchi unaowaongoza wanaweza kudhani Kiongozi wao unaruka ruka hovyo na wanaume na hivyo kukushusha hadhi.

Taasisi za dini kama katoliki, mtumishi wao tofauti na watawa ukizaa bila kuolewa tena ndoa unafukuzwa kazi, kwa sababu wanaamini utaleta uzinifu kwenye taasisi yao.

Watumishi wa serikali wenye vyeo vya juu kiutumishi hakikisheni mnafunga ndoa, ili kuleta heshima kwa mnaowaongoza.


View attachment 2290818
Una hoja japo kuzaa ni jambo LA kheri. Tumuache azae sasa maana hatujui kachomoa vizazi vingapi.
 
Back
Top Bottom