Pre GE2025 Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Pre GE2025 Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Okay nilikuwa siwaelewi wataliban sasa naanza kuwaelewa.
Ndo unaanza kuwaelewa leo mkuu!? Mbona umechelewa sana!? Mimi huwa nawaelewa sana hawa wakulungwa.

Hizi takataka zinaitwa 50/50, sijui ukiinua mwanamke umeiinua jamii ni ujinga mtupu! Hali hii imevuruga kabisa ustawi wa jamii, ustaarabu ni zero, ikianzia kwenye taasisi (iliyokuwa nyeti) ya ndoa na malezi ya watoto.

Mwanamke anatakiwa apate haki kiasi zenye kikomo ili kudumisha ustawi katika familia na jamii kwa ujumla. Hata maandiko hayajaelekeza upuuzi wa haki sawa, hayajatoa nafasi kwa wanawake, yawe ya biblia takatifu ama quran tukufu. Yaani Mungu mwenyewe aliyajua madhara ya kumwinua mwanamke, kumwinua mwanamke ni kumwinua ibilisi shetani ashike hatamu.

Siku nikishika hii nchi nitaanza kwa kurudisha maadili yaliyojifia katika nchi hii, na ili kufanikiwa katika hilo ni lazima mwanamke awekewe speed governor. Hivyo katika kutekeleza hilo nitaiga baadhi ya mambo huko kwa hao wataleban na ndugu zao waarabu.
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Ndio aina ya viongozi tulio nao? Hii nchi ina shida
 
"Chini ya Mwenyekiti wetu Mama Mary Chatanda (MCC) tutahakikisha mwanamke akigombea atapitishwa na Chama na tutampambania ashinde, UWT inasema mwanamke usijione mnyingo na usijione upo peke yako, Jeshi la Mama Samia UWT litakushika mkono kila hatua"

Joketi mwegelo- karibu mkuu umoja wa wanawake Tanzania (UWT)
 
Maisha yanaenda kasi kweli Amekua lishangazi skuhizi
Yes, the sex appeal is worn out, finished! Nothing to cover her crap.

Anapimwa kwa madini na pumba anazotema, sio tena kwa sex appeal. Na hii ni pumba ya wazi wazi.

Hata haelewi juhudi zinazofanywa kuhimiza jamii kuchagua watu bila kuangalia jinsia. Na kwamba tukienda kwa kura za jinsia watakaoumia ni wanawake, kwa saab bado hawakubaliki kwenye jamii ya mfumo dume.
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Kwahiyo kamati kuu itapitisha wanawake watupu hiyo 2025?

Hili dada jinga haswa.
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Akili za wanawake buana... naye anahisi katoa bonge la point
 
inaweza kuwa alikua na hoja ila uwasilishaji wake sio mzuri, bado wanawake wanataji msingi mkubwa wa uongozi hapa walipo sasa wako kwenye msingi dhaifu sana.

na ujumla wa yote mwanamke hakuundwa kuwa kiongozi, isipo kuwa wachache sana na ambao hutokea kwa nyakati maalumu pekee.
 
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".

Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Yaani hapa kajitahidi sana anaona kaongea pointi......huyu tunaambiwa ana Degree ya Marekani
 
Ndo unaanza kuwaelewa leo mkuu!? Mbona umechelewa sana!? Mimi huwa nawaelewa sana hawa wakulungwa.

Hizi takataka zinaitwa 50/50, sijui ukiinua mwanamke umeiinua jamii ni ujinga mtupu! Hali hii imevuruga kabisa ustawi wa jamii, ustaarabu ni zero, ikianzia kwenye taasisi (iliyokuwa nyeti) ya ndoa na malezi ya watoto.

Mwanamke anatakiwa apate haki kiasi zenye kikomo ili kudumisha ustawi katika familia na jamii kwa ujumla. Hata maandiko hayajaelekeza upuuzi wa haki sawa, hayajatoa nafasi kwa wanawake, yawe ya biblia takatifu ama quran tukufu. Yaani Mungu mwenyewe aliyajua madhara ya kumwinua mwanamke, kumwinua mwanamke ni kumwinua ibilisi shetani ashike hatamu.

Siku nikishika hii nchi nitaanza kwa kurudisha maadili yaliyojifia katika nchi hii, na ili kufanikiwa katika hilo ni lazima mwanamke awekewe speed governor. Hivyo katika kutekeleza hilo nitaiga baadhi ya mambo huko kwa hao wataleban na ndugu zao waarabu.
Acha udikteta wako.
 
Back
Top Bottom