Tatizo amehamishia ubongo tumboni na utumbo ameweka kichwani mkuu. Hawa viumbe natamani ufike wakati turudi zama za kale. Ukiangalia sana utagundua kuna jambo linakuja mbeleni. Hawa akina hawa hawapaswi kupewa hata sekunde kusherehekea vile walivyo.Yeye yule aliemtia mimba akafanikiwa kumzalisha sio kwamba alimpigia kura akamkabidhi sifuri zero yake aweke kitu ndani au anataka kusemaje amepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Alafu kabla ya kuropoka jichuje kwanza sio unaropoka tu vingine utaropoka kumbe unapotoka
Sawa.tuwe Makini sana wanaume.tukumbuke kilichowakuta Adam na Samson.adam akabaki analaum Tu baada ya kuulizwa swali na Mungu,Adam umefanya nn?,SI NI HUYU MWANAMKE ULIYENILETEA KAMA MSAIDIZI!View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Ni vzr kukawa na uwakilishi mkubwa wa wanawake, lakini uanamke peke yake tu, haitoshi, bongo ni muhimu,View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Ni jimama sio msichana.Huo ni Ubaguzi wa Kijinsia [emoji54] huyu Msichana anawazimu?!
Hii ni ndoto, we unafikiri bila ya 17/3 huyu angekua?Ameongea ukweli. I absolutely support her reasoning. Sisi wanaume tukipata kacheo kidogo majivuno na jeuri kibao. Utendeji wa kazi zero. Muda wote kujisifu tu. Ningependa kuona Raisi ajeye anakuwa MWANAMKE TENA( I mean 2030).
Huwezi jua mbeleniKwani ana mume au ni single maza
Wale jamaaa wamemfanya mwanamke aonekane kama kifaa cga starehe yaan haba haki.Maneno haya angeyasema huyo jokate kwa kurungwa angekua kapigwa bomba mda mrefu.Okay nilikuwa siwaelewi wataliban sasa naanza kuwaelewa.
View attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Kwa nini uli mu overrate hivyo mkuu?I never would have thought she was this dumb!
Sorry Mme wake ni Nani mkuuMmewe akigombea urais hatompa kura yake
Kwa hawa dada zetu anajitahidi aseeI never would have thought she was this dumb!
Kujisahau au ndiyo uwezo ulipokomea? Huyu mama ukiulizwa amefikaje hapo alipo unaweza kuonyesha hata kitu kimoja alichofanya au hata kusema tu chenye maana? Huyu alikuwa kiamda wa Magufuli na Samia akaamua kumrithi. Li-chama hili la CCM limejifia siku nyingi ila tu linalindwa na wahuni walioko vyombo vya usalama ili waendelee kufaidi.Baada ya vyeo watu hujisahau..
Nimewahi kuona baadhi ya mahojiano yake kwenye vyombo vya habari [ingawa siyo kuhusu mambo makubwa ya kitaifa na kimataifa]. Yalikuwa sanasana kuhusu mambo ya burudani tu.Kwa nini uli mu overrate hivyo mkuu?
Damn!Kwa hawa dada zetu anajitahidi asee
Very low huyu naweza muulize very basic questions akakishangaza.from second term ya kikwete ukuu wa wilaya na mkoa ni kama umeneja bankDamn!
The standard is that low?