Amina.
Hivi hawa wanawake wa bongo muvi unawajua kweli ? hawa ni Mafia hasa !Hii ya moto zaidi hata Jokate mweeeee wamemchafua mtoto watu kashfa nzito hizooo daaaaa
Atakuwa ni accountant
Unajua huwa nashangaa sana akili za baadhi ya watu kama nyie 😀😀Watakwisha wote kudadeki !
Nchi hii ilikuwa ya watu wachache waliojifanya wazalendo kumbe mashetani wakubwa, wakifanya Mambo maovu gizani wakiamini Mungu hawaoni.Unajua huwa nashangaa sana akili za baadhi ya watu kama nyie [emoji3][emoji3]
Labda nikuulize swali jepesi watamalizwa na nani? Mama samia? Mama samia ni chadema? Au sababu wamemtoa sabaya kafara kuwafurahisha mioyo na nyie mnaelekea kibra? Yani hamko smart kabisa. None of you can decode the political game. Sahivi chadema wote wanashangilia as if wamechukuwa nchi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baadhi ya Makosa ni ya TAKUKURU ,mengine ya DCI hao watu wachunguzwe, wahojiwe tena DPP awapeleke mahakamani haraka.Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.
Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.
Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
View attachment 1809814
Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.
Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.
Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
View attachment 1809814
Yasemekana huyu ndio kilikuwa kihenge cha kuhifadhia hela zote za unyang'anyi alizopora Sabaya
Jokate ndio BOT ya Sabaya , mahera ya wizi ,ujambazi, rushwa yalikuwa yanavurumushwa kwenye maVX kwenda kuwekwa Kisarawe .
Unajua mamlaka ya huyo mtuhumiwa? Mbona upo sana JF lakini haijakusaidia kuelimika?Ombi la kumkamata mtuhumiwa kwa mahojiano kibali kinatolewa na Rais?
Wewe ndio mbwiga kabisa hapo Bavicha.Unajua mamlaka ya huyo mtuhumiwa? Mbona upo sana JF lakini haijakusaidia kuelimika?
Unajua kwa nini? Unaandika sana nonsense badala ya kutumia muda mwingi kujisomea au kuuliza mambo ili uelimike.
Unadhani kuokota habari za magazetini na mitandaoni na kukimbiza humu utaonekana mjanja, pole.