Mfumo wetu wa elimu ubadilishwe ili utengeneze viongozi wenye faida tofauti na Hawa wa sasa ambao Kila kitu wanasifi rais wakati kiuhalisia hakuna Cha maana alichofanya.ikiwezekana tuige mfumo wa elimu wa Kenya au uganda.huko hakuna upuuzi wa kusifu hata pasiposifika