Jokate: Rais Samia kamaliza yote, deni lipo kwetu sisi kuhakikisha tunamtendea haki

Wanawake wakiamua lao jua ndio basi Tena mama kama anamsukuma Mlevi 2025...... Atapata kura Zaidi ya asilimia 96
 
Katiba mbovu inaleta yote haya. Katiba ya Tz inatengeneza Miungu watu. Na machawa+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…