kirusi cha ukimwi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 799
- 646
Kwa hiyo mantiki ya mtoa mada tuwe walaini au vipiDuu! Aiseh kwa dunia ya sasa wanamziki kama alik kiba ndio watakao tuvusha katika uchumi wa kati kama tukiadopt Marxism zao!
wanawake hawana shukran sina hamu nao muulize yule mchezaji wa nmm! Na mzee wa big brother kikubwa kwenda kama pholosphy ya awamu ya tano!
aaaaah asieeeee mambo mubashara...hakika mmechaguanaNione wivu wa nini wakati unanitreat vyema kuliko huyo Dai anavyowatreat wanawake zake?
Nimebarikiwa hakika,thank you darling [emoji8]
Huyu na yule aliemkuta na watoto watatu nani makombo?!Ninachokiona Mimi..Yale maneno ya Diamond kudai JoJo makombo ndio chanzo cha kiba kumtosa baada ya kumpata 7...
Kayataka mwenyewe huruma ya nini sasa.Yaani kwa kuwa nawajua wazazi wakeJokate na ndugu zake basi nikiona Jokate anaongelewa kwa mabaya na matusi hivi roho inaniuma sana!!
Usiombe ndugu,rafiki wako wa karibu akajadiliwa namna hii nyie inaumaaaaaa!![emoji22][emoji22]
MUBASHARA nimependa ulivyoisimamia kauli yako dada /shemejiNione wivu wa nini wakati unanitreat vyema kuliko huyo Dai anavyowatreat wanawake zake?
Nimebarikiwa hakika,thank you darling [emoji8]
Kumbe hata Ayjokate ndo ana mpenda mapenzi ya siri akishaachana na mtu ndo inakuja kusikika A.y n Thabiti walipita kimya kimya
Hakika mkuu,nampenda sana huyu mtu.aaaaah asieeeee mambo mubashara...hakika mmechaguana
Asante kaka shemeji.MUBASHARA nimependa ulivyoisimamia kauli yako dada /shemeji
Pole Zamda wangu,I miss you mama.Yaani kwa kuwa nawajua wazazi wakeJokate na ndugu zake basi nikiona Jokate anaongelewa kwa mabaya na matusi hivi roho inaniuma sana!!
Usiombe ndugu,rafiki wako wa karibu akajadiliwa namna hii nyie inaumaaaaaa!![emoji22][emoji22]
Cyo mwana fa mpk akaimba bado nipo nipo kwanzajokate ndo ana mpenda mapenzi ya siri akishaachana na mtu ndo inakuja kusikika A.y n Thabiti walipita kimya kimya
I'm the luckiest man on earth..Nione wivu wa nini wakati unanitreat vyema kuliko huyo Dai anavyowatreat wanawake zake?
Nimebarikiwa hakika,thank you darling [emoji8]
You are welcome moyo mashine wangu,napenda unavyonipenda...ndio maana nakupenda zaidi kila uchwao [emoji8]I'm the luckiest man on earth..
Thank you Cheupe!
Tuwe zaid ya watoaji "special treatment": kwa wanawakeKwa hiyo mantiki ya mtoa mada tuwe walaini au vipi
Akiwa Loyola ?Jojo alikua na bwana ake wakati yupo secondary walipendana sana......sema mchiz siyo mauzoo akamtosa mchiz sahv kawa nusu chiz....laana hyoo
Ahsante Niffah wangu....yaani ingekuwa amri yangu humu ndani ningeomba Jojo aachwePole Zamda wangu,I miss you mama.