Jokate Vs Ali Kiba Breakup. Sitakiiii kabisaaaa bwana kama Kiba, tena anipitie kushoto

Jokate Vs Ali Kiba Breakup. Sitakiiii kabisaaaa bwana kama Kiba, tena anipitie kushoto

Duu! Aiseh kwa dunia ya sasa wanamziki kama alik kiba ndio watakao tuvusha katika uchumi wa kati kama tukiadopt Marxism zao!
wanawake hawana shukran sina hamu nao muulize yule mchezaji wa nmm! Na mzee wa big brother kikubwa kwenda kama pholosphy ya awamu ya tano!
Kwa hiyo mantiki ya mtoa mada tuwe walaini au vipi
 
Yaani kwa kuwa nawajua wazazi wakeJokate na ndugu zake basi nikiona Jokate anaongelewa kwa mabaya na matusi hivi roho inaniuma sana!!

Usiombe ndugu,rafiki wako wa karibu akajadiliwa namna hii nyie inaumaaaaaa!![emoji22][emoji22]
 
Yaani kwa kuwa nawajua wazazi wakeJokate na ndugu zake basi nikiona Jokate anaongelewa kwa mabaya na matusi hivi roho inaniuma sana!!

Usiombe ndugu,rafiki wako wa karibu akajadiliwa namna hii nyie inaumaaaaaa!![emoji22][emoji22]
Kayataka mwenyewe huruma ya nini sasa.
 
Yaani kwa kuwa nawajua wazazi wakeJokate na ndugu zake basi nikiona Jokate anaongelewa kwa mabaya na matusi hivi roho inaniuma sana!!

Usiombe ndugu,rafiki wako wa karibu akajadiliwa namna hii nyie inaumaaaaaa!![emoji22][emoji22]
Pole Zamda wangu,I miss you mama.
 
Back
Top Bottom