Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hahaaaa ushauri wako mzuri ila hapo pa bashite umenichekesha sanaMmh kiba mpaka kwa sporah tena.basi wa chinichini. Maybe ndivyo alivyo hajui mum treat mwanamke.au ni mtu wa private hapendi kuonyesha relationship hadharani. Hao baby mama zake sijawahi kusikia ni kina nani. Jojo she deserve better ila asitafute watu maarufu. Akichukua haohao yatakuwa ndio hayo hayo.ni mzuri ila haijui thamani yake.anajua kujieleza.ila kiba interview zake unajua kabisa hapa kama Bashite hivi.
Jojo alikua na bwana ake wakati yupo secondary walipendana sana......sema mchiz siyo mauzoo akamtosa mchiz sahv kawa nusu chiz....laana hyooI wish jojo angepta hapa
Akafarijika kidogo
Alivopata umaarufu akawehuka Ku date na kila mwanaume, tena jamaa alimpenda kweliJojo alikua na bwana ake wakati yupo secondary walipendana sana......sema mchiz siyo mauzoo akamtosa mchiz sahv kawa nusu chiz....laana hyoo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Jojo alikua na bwana ake wakati yupo secondary walipendana sana......sema mchiz siyo mauzoo akamtosa mchiz sahv kawa nusu chiz....laana hyoo
Kajipeleka mwenyewe natamaaaa zake....et ooohh bwana angu wa kwanza hashimu thabiti nyoooooooooo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sasa hapa cjui n laaana
Ya mchiz inamsumbua
Au kiba,ndo amezd kwa
Makosa
Alitakiwa asoma alama za nyakati, elimu yake haikumsaidia kuona kuwa hakukuwa na mwanga at the end of the tunnel?Hafu kiba JoJo alikuwa ana msupport had financially ila ndo hivo tena ajipendekeze then mtu hamjali
Mh, na ww nawe humoooo...haka mimi cmooooohAlivopata umaarufu akawehuka Ku date na kila mwanaume, tena jamaa alimpenda kweli
Hakuna mahali imeandikwa wametembea, alimfungia tu miaka minne.Ina maana kiba katembea na madam ritha
Jojo inaonyesha hashauriki huyu ndo matokeo yake kawa mama huruma na sehemu ya kusuuziwa rungu na kudapiwa.Alitakiwa asoma alama za nyakati, elimu yake haikumsaidia kuona kuwa hakukuwa na mwanga at the end of the tunnel?
Inakuwa hivi; umependa 80% wakati mwenzako yuko kwenye 40%, akikuudhi unafikiri ni bahati mbaya tu na unakumbuka ile raha ya faragha basi unaona ngoja nilione kama halijatoke, kumbe mwenzako ndiyo anazidi kukuona zuzu.Jojo inaonyesha hashauriki huyu ndo matokeo yake kawa mama huruma na sehemu ya kusuuziwa rungu na kudapiwa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kajipeleka mwenyewe natamaaaa zake....et ooohh bwana angu wa kwanza hashimu thabiti nyoooooooooo
Ohooooo!Kumbe kiba aliwekwa ndani kwa miaka 4 na madam rita...!!!Dah nimepata wivu wa ghaflaπππ
Sawa asante sana mkuu, kumbe mambo ya kimjini mjiniEndelea tu kushika jembe huku mjini hautakuweza
Hawa wasanii wamemtia gundu JoJo ka karogwa vile. Jojo enzi za Chuo alikuwa classy namshangaa sikuhiziInakuwa hivi; umependa 80% wakati mwenzako yuko kwenye 40%, akikuudhi unafikiri ni bahati mbaya tu na unakumbuka ile raha ya faragha basi unaona ngoja nilione kama halijatoke, kumbe mwenzako ndiyo anazidi kukuona zuzu.
Mapenz hayanaga elimAlitakiwa asoma alama za nyakati, elimu yake haikumsaidia kuona kuwa hakukuwa na mwanga at the end of the tunnel?