Jokate Vs Ali Kiba Breakup. Sitakiiii kabisaaaa bwana kama Kiba, tena anipitie kushoto

Sawa asante sana mkuu, kumbe mambo ya kimjini mjini
Yoyote aliyopo mjini anamjua jojo sasa ulivyouliza ni nani aiseee endelea kutumia jembe chakula kimfikie jojo azidi kuwa jojo.....lol
 
Mapenz hayanaga elim
Hata wenye degree wanalialia
Kama hawa kisa mapenz tu

Unaambiwa penda unapopendwa
Ukibug tu n hivo jojo kwa kiba
N kama amewekewa limbwata

ukiangalia sana wenye hawana
Elim ndo wanainjoy true love
Lakini ile ya kukanwa na mama mzaa chema hata mimi ningejipanga upya aisee.
 
Yule mngoni hamuwezi kiba , kiba ana kiburi cha asili na anadharau lakini madem sijui wanampapatikia nini huku wanaumizwa daily
 
Lakini ile ya kukanwa na mama mzaa chema hata mimi ningejipanga upya aisee.
It's true hyo kitu hata mm
Binafs imeniuma kukanwa
Mpaka na mama mzaa chema
Ajsee hapo n waz huna chako

Hata kama hawamtak hawakustahili
Kumfanyia hvo kwan n binadam
Mwenzao wangeyamaliza tu
Pemben co kwa kumdhalilisha
Mbele ya kadamnas ilee

Ila mama kutamka ndo
Ameharbu kabsaaa
 
Mwambieni huyo jojo aniPM..
Nashindwa kuelewa binti mrembo kama huyo anashobokea yule mshosha ng'ombe,

yaani kiba hana pause,mshambamshamba hivi ,halafu anavyoongea hakuna hata ile class ya mtu ambae yuko well groomed,ni mtindiga fulani aliebahatisha vihela vya kubadilisha mboga mara moja moja,
hebu @lara1 nipe wasapu ya huyu sosholite Jojo Nina maongezi nae,
 
Ingia insta mtakua na maongezi mubashara.
 
Umetumwa na kei domo ausio sawa tumekuelewa nenda ukapakatwe na ww na domo
 
Kibakuli sio limbukeni wa K so Jojo anamuona wa kawaida tu
 
I am a he person, nasema ukweli kabisa kama Magu. Ali kiba ni mchoyo, mbinafsi sana, kanajidai sana na nadhani kana ujinga Fulani hivi (ushamba). Jokate ni miongoni mwa wanawake bora kabisa kuwahi kuwepo kwa kizazi hiki.

Yaani hata red carpet... eti kaanamuacha!
 
Lakini ile ya kukanwa na mama mzaa chema hata mimi ningejipanga upya aisee.
Mama hakumkana kiukweli nibkwamba hamjuwi kabisa kama ni mpenzi wa mwanae kikubwa yeye anafahamu jojo ni rafiki wa binti yake Zabibu...ili mama umtambuwa mkweo ni lazima taratibu zifuatwe za kutambulishwa ukweni huyo jojo...mpaka sasa hivi jojo na king wana zini tu na inavyoonekana mama hapendi mwanae azini thus why amekataa kuwa hatambuwi kama jojo ni mpenzi wa mwanaye nadhani utakuwa umenielewa mkuu...kama utakuwa na swali lolote njoo pm uniulize na ujisikiye huru kipenzi changu sky Eclat
 
Ally kiba kalelewa katika malezi ya tamaduni zetu za kiafrika ili mwanamke ajulikane upande wa mwanaume lazima ukamtambulishe kwa taratibu zinazohitaji vinginevyo wakwe hawatamtambuwa
 
[emoji3] [emoji3] kiba anaishi kwa bi mkubwa akihonga sana ni maandazi au visheti
 
Nimeelewa mkuu, asante sana.
 
Umaskini mbaya sana.tena wa mawazo.tunawaza viwanda wewe masaa 6 unapost juu ya papuchi ya jojo??
 
samahani... mi hapo ambapo madam ritha alimuweka ndani akawa anajipakulia tu ndo nimepaelewa sana .dogo alifaidi saana shenzi ..yani hii ndoto nimekua naiwaza saana.. lakin kabla sijalala jumla. lazima namimi nikalowanishe mishipa pale kwa madam.
 
Nahisi jojo much know nyingi...mengine ni confidential kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…