Jokate Vs Ali Kiba Breakup. Sitakiiii kabisaaaa bwana kama Kiba, tena anipitie kushoto

Umeongea point hadi umenifanya nikawaza nje ya box.
Jojo kama mwanamke atakuwa na matatizo...nahisi 'mambo' hayajui yule.
 
Ila msisahau maandiko. Wakati Adam na Eva wanafurushwa bustanini Adam alipewa adhabu moja bsada ya Mungu kuilaani ardhi..yeye mwanamke alipewa adhabu mbili...MOJA ya kuzaa kwa uchungu na ya PILI ni ile ya tamaa ya mwanamke kuwa juu ya mwanaume na kutawaliwa.
Ndo kusema Jojo na Kiba wanayaishi MAANDIKO kwa ufasaha kabisa!!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wala msishangae!!! Kila litokealo duniani sio geni ni marudio tu.
 
Inakuwa hivi; umependa 80% wakati mwenzako yuko kwenye 40%, akikuudhi unafikiri ni bahati mbaya tu na unakumbuka ile raha ya faragha basi unaona ngoja nilione kama halijatoke, kumbe mwenzako ndiyo anazidi kukuona zuzu.
Hapa ndio naamini ile dhana ya kwamba women love to chase. Hapo Ali Kiba akisema aanze kuwa romantic kumbebisha tu huyo mwanamke haitachukua round ataonekana zuzu siku si nyingi na hatimae atapigwaa chini kwa mbwembwe sana na huyo bibie jojo!
Aendelee kukomaa tu na mwendo huo huo, playing hard to get huku unapiga kojo la uhakika tu. Ukimpa uhakika sana demu anakuona fala ghafla.
 

Ndio utashangaa maajabu ya kiumbe kinachoitwa mwanamke, hapo atagandaa weee ingawa ananyanyaswa...
Ila wakipendwaga sasa nyodo kwa sana na lastly wanatupigaga chini kwa dharau. Braza Kiba endelea kupiga kojo tu na kufanya ishu zingine, hamna mda wa kubembelezana awamu hii! Kama vipi apige chini ingawa najua hana jeuri hio kwa sasa.
 
Huyu bibie anapenda watu maarufu, hata wakati yupo st Anthony alikuwa anawapenda vipanga yaani wale waliokuwa wana faulu sana Na wanajulikana shule nzima.

She is either 29 Au 30, enzi zake wakati yupo Loyola akiwa head girl alikuwa hashikiki, mtakatifu Na mwanakwaya. Alivyo sasa huwezi amini.

Wanaume tulivyo huwezi kumuoa mwanamke ambaye amesha toka Na rival wako so what Kiba did was expected
 
Ninachokiona Mimi..Yale maneno ya Diamond kudai JoJo makombo ndio chanzo cha kiba kumtosa baada ya kumpata 7...
Sema maneno hayo yanauma japo utajifaragua.....uoe demu afu jamaa lije liseme mke wako mm kwangu makombo tu nimepiga sana.....inauma
 


Umejichanganya, Jojo si mwanamke wa kuolewa ila ni wa kuchapwa pumbu tu na kuachwa solemba. Demu yeyote asiyejitambua si wa kuolewa, uliza mwanamme yeyote atakuambia hivi. Unafikiri Kiba hana akili kumtosa Jojo? Hakuna mwanamme anayetaka demu dizaini ya Wema ama Jojo, wale si wife material ila ni michepuko ya kuondoa hamu. Muulize kaka yako kama angependa kuoa mmoja kati ya hao mademu uone kama hajakupiga au kukutemea mate huku akikuonya usiwe kama hao mademu.
 
Sio tu jojo alikuwa anamuonga kiba.alimsaidia pia kumrudisha kwenye chart wakati diamond anamkimbiza sana kiba.yeye na wema wamemsaidia sana jamaa kurudisha status yake kimziki.ametokea mlango wa huruma ya wa bongo
 
Sio tu jojo alikuwa anamuonga kiba.alimsaidia pia kumrudisha kwenye chart wakati diamond anamkimbiza sana kiba.yeye na wema wamemsaidia sana jamaa kurudisha status yake kimziki.ametokea mlango wa huruma ya wa bongo
Ila ile nguvu ya wema na jokate kuungana domo alipata wakati mgumu nasikia kwenye tuzo za ktma JoJo na Wema ilikuwa full kuzomea pale tunzo inapoenda kwa domo.....na ayo ndo malipo jokate cyo kwmba haumii ila aibu ndo inayomponza maana cyo kwa kile kihere here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…