Jonas Mkude ameshakula zaidi ya Tsh mil 300 za Yanga mpaka sasa na amecheza mechi 3 tu msimu mzima

Jonas Mkude ameshakula zaidi ya Tsh mil 300 za Yanga mpaka sasa na amecheza mechi 3 tu msimu mzima

Perfomance yake haijachangia Yanga kutinga robo fainali?
Mkude kacheza robo fainali na mamelodi Mechi zote mbili,wakaishia kutolewa,sio yeye aliyeipeleka robo fainali
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.

23. 5imba SC.
JamiiForums1683832807.jpg
JamiiForums-312072181.jpg
 
Eti million 300. Hii ndio Tanganyika.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mkiwa mnapiga hesabu hizi ktk mpira wa miguu mtafeli sana ..mpira hauna hesabu hizi kwa wachezaji
 
Hesabu zake huwa zikoje kwa kutumia mfano wa Mkude?.

Yaani inasadikika alisajiliwa kwa 60M, pia analipwa 10M per month, sasa hapo kimpira malipo yake halali yakoje?.
Akikujibu ayafaidisha wengi.simba na yanga kuna sajili wanazifanya kwa mihemko,kukomoana au mkumbo,wacgezaji wengine gata afya hawapimwi
 
  • Thanks
Reactions: K11
Wachezaji ni kama kausha damu tu, msimu mzima ucheze mechi tatu na uikamue klabu milioni 300 za mshahara, usajiri na bonus, wastani wa milioni 100 kwa kila mechi.

Je, huu ni uungwana?

Kwanini timu zisisajili wachezaji 24 kila mtu acheze kuliko kurundika watumishi hewa vilabuni
Kila timu Duniani haikosi wachezaji wanaokaa benchi. We umemuona Mkude tuu.
 
Hesabu zake huwa zikoje kwa kutumia mfano wa Mkude?.

Yaani inasadikika alisajiliwa kwa 60M, pia analipwa 10M per month, sasa hapo kimpira malipo yake halali yakoje?.
Mkude analipwa million 5
Hilo nina uhakika nqlo
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kila timu Duniani haikosi wachezaji wanaokaa benchi. We umemuona Mkude tuu.
Huwezi kumlipa mchezaji mshahara milioni 10 ukamuweka benchi,bench wanakaa lowly paid au majeruhi kinyume chake ni kukosa skills za soccer management
 
Huwezi kumlipa mchezaji mshahara milioni 10 ukamuweka benchi,bench wanakaa lowly paid au majeruhi kinyume chake ni kukosa skills za soccer management
Wewe ndiye hujui, kwa hiyo unataka kusema first eleven pekee ndiyo iwe bora halafu, benchi dhaifu. Hakuna kitu kama hicho, hiyo inamaanisha Yanga ina ubora mkubwa.
 
Wewe ndiye hujui, kwa hiyo unataka kusema first eleven pekee ndiyo iwe bora halafu, benchi dhaifu. Hakuna kitu kama hicho, hiyo inamaanisha Yanga ina ubora mkubwa.
Wewe ndio umesema hivyo,mimi naamini katika rotation haiwezekani mechi 50 mtu acheze mechi 3 tu,kocha hapo anakuwa amekosea
 
Nadhani umesoma heading tu bila content,usajiloi milioni 60,mshahara milioni 10 kila mwezi,kwa miezi 12 inakuwa 120+60=180.
Bonus,Marupurupu NK inafika 300.
Kila mtu na bahati yake,Saido alitemwa Yanga Simba ameshawalia kama milioni 500 ila angalau yeye amechezapo na uzee ule ungejiuliza angeenda wapi maana pake Geita Gold alikuwa amejiegesha ni karibu na kwao,kutoka geita mpaka bujumnura ni masaa 6 tu kwa gari
Gari ya SGR labda
 
Back
Top Bottom