njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #41
propaganda za utopolo na media tushazipuuza mda mrefu sana, ingekuwa kalinyo yuko simba na yanayoendelea huko sijui ingekuwaje?engineeer hersi nafikiri hizo hela anazohonga kulipia viwanda vya uongo angeongenzea makipa na mabeki wa prisons mechi inayofuataCEO kachanganyikiwa na mtarimbo wa Mkude. Mo na ki ba....mia chake kakasirika sana kuchapiwa CEO.Mkude tangaza ndoa kabisa kwa CEO.
Aisee...nyinyi ndo mnaturudisha nyuma...Mkude akiona comment zenu ndo anazidi kiburi...nidhamu kwanza...mkude ni nani?kulikua na Mutesa Patrick Mafisango,aendelee kupumzika kwa amani,milele tutamkumbuka.Taarifa ina makosa mengi sana. Najiuliza ulazima wa kumsimamisha mcheza jiningali timu ina mechi nyingi tu kwa muda mfupi.
Ndemla na Mzamiru wanaweza cheza vizuri tu...ndiyo kweli naliongeleaga kila siku ila popoma Genta huwa anaiwakia sana, tusubiri tuone siku hiyo kama nyoni atakuwa hajapona kuna uwezekano shomari kapombe akacheza katikati,ame ibrahim akacheza namba mbili,wajitahidi lwang apate kibali
yeah wala haina shida hiyo watapambana na wata prove kwamba they can do it.Ndemla na Mzamiru wanaweza cheza vizuri tu...
mafisango shida yek ilikuwaga pombe tu tena akinywa ndipo alikuwa anafanya maajabu uwanjani,huyu jamaa mkude akinywa ndo vile sasa kumbuka kama ile kadi nyekundu dhidi ya ntibakonzinza mechi na burundi,yaani jamaa ni liability sana issue ni kwamba anapendwa sana lakini kuna viungo wazuri sana hata team za mikoani wanamzidi hajui hata ku slide tackle kabisa,kotei na fraga walimfichia sana makosaAisee...nyinyi ndo mnaturudisha nyuma...Mkude akiona comment zenu ndo anazidi kiburi...nidhamu kwanza...mkude ni nani?kulikua na Mutesa Patrick Mafisango,aendelee kupumzika kwa amani,milele tutamkumbuka.
Bila kiungo mwingine Mkude hamna kitu...hawezi kusimamia shughuli mwenyewe ila ana bahati ya kupendwa...apumzike tu amalize arosto zake.mafisango shida yek ilikuwaga pombe tu tena akinywa ndipo alikuwa anafanya maajabu uwanjani,huyu jamaa mkude akinywa ndo vile sasa kumbuka kama ile kadi nyekundu dhidi ya ntibakonzinza mechi na burundi,yaani jamaa ni liability sana issue ni kwamba anapendwa sana lakini kuna viungo wazuri sana hata team za mikoani wanamzidi hajui hata ku slide tackle kabisa,kotei na fraga walimfichia sana makosa
Hizo comments za kijinga ni mashabiki wa UtopoloUkiangalia maoni ya baadhi ya mashabiki ndio utaelewa kwanini wachezaji wetu wanakosa nidhamu, Mkude alitakiwa aheshimu ajira yake Simba ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Nyani tulieni hii haiwahusu nyie ngojeni kutoana chawa tu ndilo mnalowezaManguruwe bhana. Issue ndogo za beer [emoji481] kadhaa na kisha kumpandia hewani CEO imekuwa kitu kikuuubwa. Watu wasinywe tu beer tuwili tutatu? Barbra asisomeshwe?
of course ni wao wana sense kwamba simba kuna mvurugano wamekazania hapohapo kuvuruga hadi redioni na magazetini wanatembeza pesa kwa ajili hiyo,wamedhamiria sana mwaka huu kwa gharama yoyote ileHizo comments za kijinga ni mashabiki wa Utopolo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwani kumtongoza CEO ni utovu wa nidhamu basi atembee na orodha ya watu wanaostahili kumtongoza kabla hujamtongoza upewe ukikuta haumo kwenye orodha ufunge domo lako.Nasikia kamtongoza CEO
uto wamedhamiria mwaka huu na kile kipigo cha majimaji jana kimewatuliza kabisa,jumatano tukishinda na tarehe sita utaona watakavyonyweaKwani kumtongoza CEO ni utovu wa nidhamu basi atembee na orodha ya watu wanaostahili kumtongoza kabla hujamtongoza upewe ukikuta haumo kwenye orodha ufunge domo lako.
Wamedhamilia kweli , iko wapi timu ya kujisifia kutoa kipigo cha goli 5, sahau kuhusu kushinda tarehe 6 ,Simba hii yenye makalio badala ya makali.uto wamedhamiria mwaka huu na kile kipigo cha majimaji jana kimewatuliza kabisa,jumatano tukishinda na tarehe sita utaona watakavyonywea
baada ya tarehe sita msijali tukishaingia makundi mtakuwa na mechi 3 za kushangaa hapa dsm ,mtanunua sana jezi kudadeki mamaeeeeee,ngoma hii hadi nusu fainali.WIDA WAR IN DARWamedhamilia kweli , iko wapi timu ya kujisifia kutoa kipigo cha goli 5, sahau kuhusu kushinda tarehe 6 ,Simba hii yenye makalio badala ya makali.
Mikia si walikuwa wanasema kwa Sasa ndie kiungo bora imekuwaje tenaHuyu mwamba sijui ana shida gani kwa kweli,siku ile wanaenda zimbabwe wenzake wamevaa jezi juu na tracks chini wengine vibukta vyeusi sare yeye kapigwa yale mashati ya maua ya hawaii na kipensi cheupe
kule zimbabwe wanasali na balozi yeye hajafunga macho anakuna nungunungu zake kichwani
Tukirudi kwenye uchezaji Iam glad hatakuwepo kwa kweli,sijawahi muona mkude akifanya sliding tackle hata siku moja yeye ukabaji wake huwa ni kunyanyua mguu na kukita .
Sioni anything special kwa huyu bwana labda kuwe na watu kama kotei na Fraga wa kumsaidia ila akiwa na muzamiru siku hiyo utacheka maana hata pasi hajui kupiga
Ana kitete cha mguu,anakimbia kama ana majipu miguuni,pasi zake nyingi za nyuma hajui kupiga penetration passes kabisa
siku ya mechi ya tunisia nilifurahi sana fei toto alipoingizwa badala yake.Atulize kichwa ule usela mavi wake unakera sana
View attachment 1661654
Vipi Morison na Ile Middle finger yake mbona hakusimamishwa?hakuna bundi yoyote ndo kwanza tumeshikamana sana,binafsi nimefurahi huyo jamaa kupumzishwa kabisa .
Haya mkude nidhamu hana simba mnunue himid mao aje achomekee uwanjani muone.Ndio mnavyodanganyana, ndio maana Wachezaji wenu hawafiki mbali.....nidhamu ni msingi wa kila kitu.
Kipaji na nidhamu ndio mafanikio, na bahati mbaya kati ya vipaji vinavyohitaji nidhamu mbele ni michezo.
Hata mm nimesikia hivyoNasikia kamtongoza CEO
Si ndio hapo sasaManguruwe bhana. Issue ndogo za beer [emoji481] kadhaa na kisha kumpandia hewani CEO imekuwa kitu kikuuubwa. Watu wasinywe tu beer tuwili tutatu? Barbra asisomeshwe?
ukikuta comments za watu zinasema watu wanakula bata beach kidimbwi la kufa mtu pesa zipo ina maana kila mtu ana pesa?mimi nimeelezea udhaifu wake hajui kukaba huwa anakaba kwa kunyanyua mguu na kukita,yuko slow,hajui kufanya sliding tackles,hajui kupiga penetration passesMikia si walikuwa wanasema kwa Sasa ndie kiungo bora imekuwaje tena
utasikia mengi tu kama ulivyoskikia kichuya kafungiwa,kagere kampiga kichwa sven...kwenye hii digital era ni muhimu sana ukishirikisha hlamashauri yako ya kichwa,mimi nimesikia anatengeneza fitna kambini kama alivyofanyaga kipindi kile hadi akapokonywa unahodha..chagua wewe utaamini lipiHata mm nimesikia hivyo