Jonas Savimbi of UNITA

Jonas Savimbi of UNITA

Duu huy jamaa nlikuwa dogo tu daily wanamtangaza hasa radio one enzi zile

africa for the africans
 
Nakumbuka enzi za utoto nilikua napenda kujiitta majina ya watu hatari hatari kama Savimbi, Hitler, Mussolin, Bocassa, Osama kweli siku zinaenda R.I.P SAVIMBI.
 
Kibaraka tu..na hao wako wengi. Viongozi Wa kweli / halisi waliowahi kuongoza africa ni wachache
 
Nasikia jamaa alikua anatafuna watu kama dagaa.

Kula watu hapana we sema alikuwa ana jeuri na kiburi - alijiona yeye ndiye mwenye hati miliki ya kuitawala Angola wengine aliwaona ni vilaza!! Aligundulika alipo kuwa amejificha baada ya kufanya kosa la kutumia satellite phone na huo ndio ukawa mwisho wake. Nasikia Osama alikuwa hafanyi kosa kama hilo,ndio maana ilikuwa vigumu kubaini alikuokuwa amejichimbia.
 
Jamaa alipewa mpaka umakamu wa rais akakataa....
akaendelea kupigana porini (gorilla war) mwisho wa siku wale waliokuwa wanamfadhili wakamchoka nawakafanikisha mpango wa kuuwawa kwake. Alizikwa porini kama mzoga wa mmbwa......

guerilla.......
 
Jonas Savimbi huyu ni bingwa wa vita vya msituni.alipigana kwa muda mrefu sana.
 
Alianzia huku kabla haja machachari Mungu na kuwa muasi 1430026096958.jpg1430026114491.jpg1430026129411.jpg1430026140292.jpg
 
Jamaa alipewa mpaka umakamu wa rais akakataa....
akaendelea kupigana porini (gorilla war) mwisho wa siku wale waliokuwa wanamfadhili wakamchoka nawakafanikisha mpango wa kuuwawa kwake. Alizikwa porini kama mzoga wa mmbwa......

Kwa swala la kuzikwa, kuzikwa ni kuzikwa tu, hata ukizikwa na makatapilla, magreda excavator au majembe na machepe, you are gone and never come back.
 
Mpaka leo ile image ya maiti ya Savimbi haijanitoka maana hadi chupi aliyokuwa amevaa ilionekana.. Nakumbuka jamaa alionyeshwa na CNN na BBC pamoja na media zingine..,ilikuwa ni bonge la BREAKING news.. Huyu jamaa alikufa kishujaa maana alikufa akipambana. Na ilikuwa kama ambush kutoka kwenye jeshi kubwa.. Savimbi hakufa kizembe.
 
Mpaka leo ile image ya maiti ya Savimbi haijanitoka maana hadi chupi aliyokuwa amevaa ilionekana.. Nakumbuka jamaa alionyeshwa na CNN na BBC pamoja na media zingine..,ilikuwa ni bonge la BREAKING news.. Huyu jamaa alikufa kishujaa maana alikufa akipambana. Na ilikuwa kama ambush kutoka kwenye jeshi kubwa.. Savimbi hakufa kizembe.

1430027222371.jpg
 
Jamaa alikufa kwenye street war fight na alipigwa na bastora tena risasi moja tu chalii.... Hakufa kishujaa sanaaa
 
Jamaa alikufa kwenye street war fight na alipigwa na bastora tena risasi moja tu chalii.... Hakufa kishujaa sanaaa

Umezaliwa lini wewe? Soma na ufuatilie Savimbi alikufaje.
 
Mpaka leo ile image ya maiti ya Savimbi haijanitoka maana hadi chupi aliyokuwa amevaa ilionekana.. Nakumbuka jamaa alionyeshwa na CNN na BBC pamoja na media zingine..,ilikuwa ni bonge la BREAKING news.. Huyu jamaa alikufa kishujaa maana alikufa akipambana. Na ilikuwa kama ambush kutoka kwenye jeshi kubwa.. Savimbi hakufa kizembe.

Alikufa kizembe sana, baada ya Dos santos kukubaliana na matakwa ya West hasa Marekani, Savimbi aliitwa na USA na kuambiwa vita sasa basi akagoma, na siku ya kufa kwake maraisi wote wa SADC waliitwa na USA na kuambiwa Angola vita inaisha na Savimbi anaenda kufa, savimbi aliitwa na USA polini wanakokutaniana na akaenda bila kuwa na jeshi lolote zaidi ya walinzi Wake wachache na akauliwa hapo huku vyombo ya propaganda vya West CCN, BBC, SKY nk wakishuhudia na kuchukua picha
 
Nakumbuka enzi za utoto nilikua napenda kujiitta majina ya watu hatari hatari kama Savimbi, Hitler, Mussolin, Bocassa, Osama kweli siku zinaenda R.I.P SAVIMBI.
Mdomo unaumba sio ajabu ukarithi kiongozi wa Panya Road.
 
Back
Top Bottom