Haki gani? Mtu unachokoza, ukipigwa unakimbilia kushtaki. Haki gani hapo. Ningewaona wa maana kama wangeshtaki Urusi kwa kuivamia Ukraine. Mengine ni uhayawani tuHakuna kitu kama hicho.
Mtu atetee haki adharaulike?
Acha Upuuzi! Ukichokoza Kubali matokeo.Huu mgogoro wa Palestina na Israel umeujulia JF.
Hatujuani! Wewe udini tu. Wachapwe ili akili iwaingie. Mambo ya 1967 etc Achana nayo. Tuna angalia ya juziWewe ndiyo mpuuzi unasema israel alichokozwa ndiyo maana nakuambia huu mgogoro umeujulia JF au umri wako mdogo umekuja JF kubishana bila kufahamu histori ya Mashariki ya Kati.
Ile ni vita mbona wanatageti raia?Haki gani? Mtu unachokoza, ukipigwa unakimbilia kushtaki. Haki gani hapo. Ningewaona wa maana kama wangeshtaki Urusi kwa kuivamia Ukraine. Mengine ni uhayawani tu
Kama wanajificha katika Raia wao wafanyaje? Ni kuwaua wao na wanaowaficha. Fita ni fita muraaIle ni vita mbona wanatageti raia?
Ndio failure yenyewe. Sasa watajibu mbele ya mahakamaKama wanajificha katika Raia wao wafanyaje? Ni kuwaua wao na wanaowaficha. Fita ni fita muraa
Mahakama iwafanye nini? Toothless courts ni siasa tu! Putin kwanini SA hawakumkamata kama wangekuwa ni waumini wa hii Mahakama.Ndio failure yenyewe. Sasa watajibu mbele ya mahakama
Wanakumbi.
Kutana na Jopo la Wanasheria Nguli kutoka Afrika Kusini ambao wameweka historia pale kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) kwa kuishtaki Israeli juu ya udhalimu wanaoufanya pale Gaza.
• John Dugard
• Max Du Plessis
• Adila Hassim
• Tembeka Ngcukaitobi
• Tshidiso Ramogale
• Sarah Pudifin-Jones
• Lerato Zikalala
• Vaughan Lowe
• Blinne Ní Ghrálaigh
South Africa wameiheshimisha Africa, na ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki, So far kuna mataifa ya Ulaya tayari yamekataa kuunga mkono USA ama kuna vuguvugu la kuunga mkono South, Nchi zaidi ya 54 zimeshaiunga mkono South Africa.
View attachment 2870322
FactAfrica South of sahara has nothing in common to do with Africa North of Sahara! Hivyo wao wanajinasibu sana na wazungu na waarabu na siyo waafrika/weusi!
Huko The Hague, waandishi wa habari wanatazama video iliyoonyeshwa kwa majaji ambapo wanajeshi wa Israel wanaimba kuhusu maangamizi ya watu wa Palestina.Fact
“Kama kuna siku nimewahi kujisikia fahari sana katika maisha yangu ni pale ambapo mawakili wetu walipokuwa wakiitetea kesi yetu dhidi ya Israeli”South Africa walitakiwa kuanzia nyumbani huku. Hicho walichokifanya kitaa tunaita shobo dundo