Jopo la Wanasheria wa Afrika Kusini wameiheshimisha Afrika, ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki

Jopo la Wanasheria wa Afrika Kusini wameiheshimisha Afrika, ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki

Wanakumbi.

Kutana na Jopo la Wanasheria Nguli kutoka Afrika Kusini ambao wameweka historia pale kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) kwa kuishtaki Israeli juu ya udhalimu wanaoufanya pale Gaza.

• John Dugard
• Max Du Plessis
• Adila Hassim
• Tembeka Ngcukaitobi
• Tshidiso Ramogale
• Sarah Pudifin-Jones
• Lerato Zikalala
• Vaughan Lowe
• Blinne Ní Ghrálaigh

South Africa wameiheshimisha Africa, na ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki, So far kuna mataifa ya Ulaya tayari yamekataa kuunga mkono USA ama kuna vuguvugu la kuunga mkono South, Nchi zaidi ya 54 zimeshaiunga mkono South Africa.

View attachment 2870322
Ina maana kinachoendelea gaza, kinawauma zaidi ya ule uhuni unaofanyika sudan?, ni unafiki mkubwa!!
 
Ina maana kinachoendelea gaza, kinawauma zaidi ya ule uhuni unaofanyika sudan?, ni unafiki mkubwa!!
Sudan si unaweza kufungua kesi hata wewe kama unamia zaidi mtu binafsi anaruhusiwa kufungua kesi.
 
Ungejikita kwenye hoja lakini kwakuwa huna marinda nisikulaumu
Hoja ipi? Mbona marinda hata Mama yako mzazi alishatolewa siku nyingi ujashangaa? Mabwege sana nyie mnakuja JF kushambulia watu ukikitana na bakora unajifanya una hoja🤣
 
Naona wengi ni manasara aka makafiri
 
Hoja ipi? Mbona marinda hata Mama yako mzazi alishatolewa siku nyingi ujashangaa? Mabwege sana nyie mnakuja JF kushambulia watu ukikitana na bakora unajifanya una hoja🤣
kweli nyani haoni kundule, umeanza na kejeli na dhihaka dhidi yangu.
 
Back
Top Bottom