Jordan yaanza kujiweka mbali na Israel, imesikia onyo la Iran

Jordan yaanza kujiweka mbali na Israel, imesikia onyo la Iran

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
 
Hapa iko kazi ! Netaniahu kachanganyikiwa wa jordan wanataka nchi yao imefute maelewano na Mayahudi manake iingie vitani ! Hapo yahudi kijasho kinamtoka huku Hamas, Kule Hezbollah ,kule Iran na Huku Jordan ! Duu sipati picha itakuwaje ! Baado Wamisri nao wakichachamaa ni lazima Yahudi akimbilie majini mamake
 
Hapa iko kazi ! Netaniahu kachanganyikiwa wa jordan wanataka nchi yao imefute maelewano na Mayahudi manake iingie vitani ! Hapo yahudi kijasho kinamtoka huku Hamas, Kule Hezbollah ,kule Iran na Huku Jordan ! Duu sipati picha itakuwaje ! Baado Wamisri nao wakichachamaa ni lazima Yahudi akimbilie majini mamake
Ndio ujue ubabe haufai.
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
Huuu uzi ni spesho kwa vijana wa madrasaa
 
Hapa iko kazi ! Netaniahu kachanganyikiwa wa jordan wanataka nchi yao imefute maelewano na Mayahudi manake iingie vitani ! Hapo yahudi kijasho kinamtoka huku Hamas, Kule Hezbollah ,kule Iran na Huku Jordan ! Duu sipati picha itakuwaje ! Baado Wamisri nao wakichachamaa ni lazima Yahudi akimbilie majini mamake
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
Kwa lugha nyepesi Jorden haitaki kutumiliwa na US wala Uingereza kumshambulia Iran mana Iran ameshasema wazi kwamba nchi itakayotumika mashariki ya kati kushambuliwa basi ataichapa kwa vishindo vizito
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
Wafia dini siku hizi mnajitahidi kuandaa vipropaganda
 
Hapa iko kazi ! Netaniahu kachanganyikiwa wa jordan wanataka nchi yao imefute maelewano na Mayahudi manake iingie vitani ! Hapo yahudi kijasho kinamtoka huku Hamas, Kule Hezbollah ,kule Iran na Huku Jordan ! Duu sipati picha itakuwaje ! Baado Wamisri nao wakichachamaa ni lazima Yahudi akimbilie majini mamake
Wote wataramba kichapo sawasawa na hamas,naomba tusijelaumu kwamba watoto na wanawake wameuawa.
Muda ni mwalimu mzuri,
 
Kwa lugha nyepesi Jorden haitaki kutumiliwa na US wala Uingereza kumshambulia Iran mana Iran ameshasema wazi kwamba nchi itakayotumika mashariki ya kati kushambuliwa basi ataichapa kwa vishindo vizito
Pia alisema israel ikiingia ardhi ya palestina itakipata cha ,moto.
Tumeshuhudia wanaume wakiingia na kufanya yao hadi leo.
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
hao raia hawataki amani hlf wakiletewa kipigo wanalia dunia tumewatenga tunawajali Ukraine tu
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
Mleta mada nawe anza kujitafakari.
Unaunga unga mnoo vijihabari vyepesi ili kutengeneza dhana fulani kuhusu ukubwa wa Iran au unyonge wa Israel.

Kwa mfano katika hilo la Jordan, wewe ulitaka Jordan asemeje?
Katika mazingira yoyote ya vita isiyokuhusu (lakini yenye kukulazimisha kusaidia upande fulani), lugha rahisi ni kusema haupo upande wowote na ungependa Amani. Ndio hicho anachokifanya Jordan, lakini kiuhalisia Jordan ameamua kusimama na Israel dhidi ya Iran.
 
Jordan imekiona kitisho cha vita baina ya Iran na Israel na imeanza kujiweka mbali na Israel.

Katika kujitetea kwanini walidungua droni za Iran zilizokuwa zikielekea Israel,nchi hiyo ya kifalme imesema haikufanya hivyo kuitetea Israel bali ilikuwa ni kuwalinda raia wake dhidi ya vifaa vilivyopita kwenye anga lake.

Kauli hiyo ya kujitetea imetolewa na waziri wa mahusiano ya nje,Mohammed Swafad na mawaziri wengine wa ufalme huo.

Wakiendelea kufafanua hatua yao hiyo,mawaziri hao wamesema kitendo chao hicho si kwa makombora kutoka Iran tu bali hata kutoka nchi nyengine yoyote ile.

Kwa upande wake mfalme Abdallah wa nchi hiyo katika mazungumzo na raisi Biden wa Marekani,amesema hataki nchi yake iwe ni uwanja wa vita baina ya Iran na Israel.

Ili mashambulio ya Israel dhidi ya Iran yafanikiwe ni lazima ipate ushirikiano kutoka kwa mataifa matatu ya kiarabu inayopakana nayo.

Zaidi ya nusu ya raia wa Jordan wana asili ya Palestina akiwemo mke wa mfalme wa Jordan,bi Rania.

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la maandamano ya kuiunga mkono Palestina na kutaka kufutwa kwa mkataba wa mapatano baina ya Israel na nchi hiyo uliotiwa saina mwaka 1994.Mkataba ambao tangu mwanzo haujaungwa mkono na raia wa nchi hiyo.
Ila kitu kimoja duniani kote usimuamini mwanasiasa wote wanaangalia maslahi yao tu , wewe unaweza ukawa unauchungu na wapalestina kuliko hata hao jordan hela imeharibu dunia
 
Back
Top Bottom