Jordan yasema itatungua kombora lolote litakalopita kwenye anga lake kwenda kuishambulia Israel

Hahaha Tanzania anaiharibu nani? Tanzania Samia hapendwi na asilimia 99% hakuchaguliwa lakini ni rais wa Tanzania, kwa hiyo USA ndio walimuweka madarakani?

Sielewi wapi viongozi wa kisiasa wanapendwa na raia wao. Kumbuka wananchi wengi huwa hawashiriki hata zoezi la kuchagua, kwasababu wanafahamu ghiliba za uchaguzi na matokeo yake.

Jordan inawezekana USA anaweka uongozi wenye manufaa kwa taifa, kama wafanyavyo kwa Palestina, lakini Wavaa kobaz hawataki.

Palestina tangu afariki Arafat, huyo Abas wanandai siyo kiongozi wao wana wataka HAMAS.
Wewe pia nakuona mlengo wako huo huo, unataka Jordan ingiliwe na vikundi vya KIGAIDI ndio useme wanapendwa 99.99%.
Kwasababu Jordan hawataki uhuni wa MAGAIDI basi wana bebwa na USA?
 
Nahisi naongea na kichaa.
Palestina inayojumuisha Gaza na Occupied west bank hivi unajua zinaongozwa na vyama viwili tofauti!?
Gaza imekua ikiongozwa na HAMAS na Occupied West bank imekua ikiongozwa na Palestine Liberation Party(PLO).
YASSER ARAFAT alikua mkuu wa chama cha PLO sio HAMAS.
Na Hamas na PLO kuna kipindi waliwahi kupishana ila mwaka huu ndio China kawapatanisha.

Siasa za Tanzania usizifananishe na za middle east,hapa inaonekana bado we ni mweupe kwenye diplomasia.
Mzizi wa fitina wa Tanzania katika uongozi usifananishe na Middle east.
Na nani kakwambia 99% ya Watz hawampendi Samia!?
Ilhali watumishi wa umma na viongozi wa serikali kuu na ndogo wanampigia debe kisa tu kuwaongezea vimshahara?
Tanzania ni nchi ya uchawa ya kula kwa urefu wa kamba yako.
Usifananishe na Jordan ambako raia 90% hawamtaki huyo kiongozi wakiwa na sababu zao zenye mashiko.
Iran 1979 ilipinduliwa na ukaingia utawala mpya na ulionesha kuleta hatua ya maendeleo Iran ila kwa uoga wa USA kulinda ushawishi wake middle east akaipiga vikwazo vya kiuchumi Iran.
Libya ilikua NCHI ISIYOKUA NA MADENI DUNIANI na raia wake walikua wakiishi vizuri ila kwa ugaidi wa USA akafanya regime change Na kuiharibu Libya hadi sasa.
1950s Syria ilikua miongoni mwa mataifa nguli kiuchumi na kijeshi ila kwa USA kuhofia kuguswa maslahi yake yeye na Israel wakaleta mchafugoke wa kidiplomasia 1958 na kukatokea na Syria crisis.

Halafu wewe unakuja unabwabwaja na kuropoka hapa.
Embu pekua makablasha kijana soma halafu uje hapa na hoja sio kuongea hisia ama stori za vijiweni.
 
Hahaha kwa hiyo SAMIA anapendwa asilimia 100, ila Jordan ndio hawampendi kiongozi wao kwa 99%? Na hayo unajua wewe tu.

Irani walipindua kusimika Udini hakuna cha maendeleo pale, HAMAS ndio wanaivuruga Palestine, na Hezbollah ndio wanaiharibu Lebanon, na Wale Islamic action front katawi ka Islamic brotherhood ndio wanaiharibu Jordan.

Vichwa vyenu mapupu matupu na diplomasia za kijinga jinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…