Jose Chameleon: Msanii aliyeitikisa Afrika Mashariki

Jose Chameleon: Msanii aliyeitikisa Afrika Mashariki

Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja
Dr. Jose Chameleon aliivuruga East Africa na ngoma kali sana hit baada ya hit yani tunabandua Ugali tunabadika maharage yani hakuna kuzima moto.
.
Ngoma ipi ilikubamba toka Kwa Jose?
.
1.Jamilla
2.Dorotia
3.Shida za Dunia
4.Bahati yangu
5.Sauti ya Thabu
6.Bombo Clat Ft Weasel
7.Bei Kali
8.Ndivyo sivyo Ft Prof Jay
9.Tubonge
10.Mama Roda Ft Bushoke
11.Valuvalu
12: Badilisha
13: Kipepeo
14: Walewale
Nilidhan ametwaliwa
 
Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja
Dr. Jose Chameleon aliivuruga East Africa na ngoma kali sana hit baada ya hit yani tunabandua Ugali tunabadika maharage yani hakuna kuzima moto.
.
Ngoma ipi ilikubamba toka Kwa Jose?
.
1.Jamilla
2.Dorotia
3.Shida za Dunia
4.Bahati yangu
5.Sauti ya Thabu
6.Bombo Clat Ft Weasel
7.Bei Kali
8.Ndivyo sivyo Ft Prof Jay
9.Tubonge
10.Mama Roda Ft Bushoke
11.Valuvalu
12: Badilisha
13: Kipepeo
14: Walewale
Hii title ya dokta umeitoa wapi? Unauhakika ana qualification hizo?
 
Sasa kama hawa wanasiasa wenu uchwara mnawabandika heshima za udaktari kwa nini isiwe kwa Dr Jozee alietumikisha akili yake kupika mziki mzuri wana africa na dunia tukaenjoy...Jozee deserves!
ni wana siasa wachache walioingia darasani na kuisotea PHD, hao the rest hawastahili , ni sawa na dr maji marefu
 
Ana ngoma nyingi kali, lakini MAMA Rhoda naipenda zaidi, kiitikio bushoke alitulia
 
Jose chameleone
huyo mzungu ndo alimpa miwaya?

Legend tumuombee kuna video inamuonesha amerud tena hospital akiwa amedhoofu
 
For some reason muziki wake unanikumbusha muziki wa kwaya.
 
Back
Top Bottom