Jose Chameleon ndiye msanii bora wa muda wote wa Afrika Mashariki

Jose Chameleon ndiye msanii bora wa muda wote wa Afrika Mashariki

Jumannnne

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2019
Posts
667
Reaction score
2,009
Habari zenu wana na wanawake, kwa upande wangu namuona Dr Jose kama msanii bora wa muda wote kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki, wewe unadhani ni nani anastahili kuwa katika pendekezo lako
 
Marijani Rajabu

labda ubadili heading uandike msanii tajiri zaidi A.mashariki
 
Ten years back! ila now Keshaachwa mbali sana na Domo
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom