Jose Mourinho , kocha anayebebwa na pesa za usajili

For that sense Claudio Ranieri ndo Coach bora
 
Ni mtazamo tu!
 
Kocha boya sana, sijawahi furahia uteuzi wake pale man u, basi tu, yaani mpira Wa man u ni wakurenga kwa manati kazi kuweka mizigo uwanjani
 
Kocha gani wa sasa asiyebebwa na pesa ya usajili mkubwa na akawa na mafanikio makubwa!?
 
Leo unaanzisha threads za kiwango cha chini hadi najiuliza ni wewe kweli au umerogwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…