Jose Mourinho ni kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili

We mwamba mtu akitaka kubishana nawe kwa hoja ktk soka inabidi ajipange haswaaa...maana uko vizuri kuliko maelezo Chifu.

Heshima kwako mkuu.
 
Upo sahihi. Tatizo la Mournho ni kwamba hataki Kubembeleza mchezaji, anaamini zaidi suala la Nidhamu. Bahati mbaya timu nyingi kwasasa Kocha hana nguvu kwa 100%, Na mchezaji anaweza kusababisha Kocha atimliwa.

Mourinho alifanikiwa sana kipindi cha nyuma kutokana na kuwa na nguvu zaidi ya Wachezaji. Vivyohivyo Ferguson alifanikiwa sana Man utd kwakuwa alikuwa na nguvu sana juu ya hatima ya mchezaji. Tukumbuke issue yake na Berkam na hatimaye Berkam akauzwa. Ingekuwa Leo hii kwa umaarufu wa Berkam ninauhakika angeondoka Kocha na mchezaji angebaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…