Jose Mourinho ni kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili

Umeongea vyema hapo atleast diego simeion ndo ataiweza hyo timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ni mfumo mourinho mpe mabeki wagumu ,midifilderz ngumu na foward mmoja hatar ...yaani mourinho anafanya vizur akiwa na wachezaji aina ya maroboti na sio wakina wachezaji wakunyumbulika yaani skilled players.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kante,mahrez shrupp, hao walikuja kuongeza nguvu pia kumbuka hamna mchezaj pale alietoka kwenye academy ya hiyo timu
Walitumia pesa kidogo kulinganisha na timu zilizokua zinachuana top four.

Kwangu ndiyo timu iliyochukua ubingwa bila kutumia pesa.
 
Walitumia pesa kidogo kulinganisha na timu zilizokua zinachuana top four.

Kwangu ndiyo timu iliyochukua ubingwa bila kutumia pesa.
Kuchukua ubingwa bila kutumia pesa ni kuwa na players uliozalisha ktk academy yako umenunua players bado unasema hujatumia pesa nimekupa mfano kante alinunuliwa toka france mahrez toka france uliona michango yao

Ungeniambia walibeba ubingwa kwa kutumia pesa kidogo point yako ingekuwa active.
 
Ishu ni mfumo mourinho mpe mabeki wagumu ,midifilderz ngumu na foward mmoja hatar ...yaani mourinho anafanya vizur akiwa na wachezaji aina ya maroboti na sio wakina wachezaji wakunyumbulika yaani skilled players.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira unaevolve leo hii mabeki wenye roho mbaya utawapata wapi? Au upaki basi usubiri kuvizia, angalia hata Italia makocha wamebadilika sana wanacheza mpira wa kushambulia zaidi. Lakini Jose anajifanya hataki kuapdate staili aliyoizoea
 
Ya Mourihno leo 29/09/2818 yatamtokea Kocha wa Simba kesho 30/09/2018.

Amebebwa na hela za usajili. Kesho kiama chake.
 
Updates : Man U 0 - 2 Newcastle United
 
Hakuna fact hapa ni porojo tuu.. soka la sasa ni pesa.. usiposajili unategemea nini?? alichofanya José .. Guardiola hajafika hata nusu!.. anaebisha leta fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…