Jose Mourinho ni kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili

Jose Mourinho ni kocha mbovu anayebebwa na pesa za usajili

Updates : Man U 0 - 2 Newcastle United
Any updates?
Mou.jpeg
 
Sasa kaingia Totenham tuone kama bila fungu la mastaa wakubwa atafanya kitu
 
Kwenye klabu alipopata mafinikio alibebwa na usajili upi ghali? Ingekuwa hivyo angemkataa Ronaldinho ili amchukue Drogba wa Marseiles? Timu pekee alikotumia pesa nyingi ni United ambayo ilikuwa mbovu kuliko City iliyotumia pesa nyingi zaidi ya United kwenye overhaul. Nadhani humfahama vizuri Jowzey.
Sasa kaingia Totenham tuone kama bila fungu la mastaa wakubwa atafanya kitu
 
Bila Mourinho Ligi hainogi bhana , mpira ni amsha amsha , makocha wengine hawana amsha amsha kabisa , wamekaa tu kama makondoo, ligi Inakuwa imepooa, na pia inakuwa ligi ya kichoko kweli, japo jamaa hajui mpira Ila namkubali saaana , ana create tension na kumtia adui hasira , game inakuwa hot Sana, aliichangamsha akili ya Ferguson, akaenda akawazindua Italy alaf akawaamsha Spain , uwepo wake kwenye ligi ni mhimu , vituo vya television vinampenda Sana , ukitafuta wacheza gambling wakubwa Duniani basi huyo jamaa anaongoza, fundi wa kuotea na majigambo.
 
Bila Mourinho Ligi hainogi bhana , mpira ni amsha amsha , makocha wengine hawana amsha amsha kabisa , wamekaa tu kama makondoo, ligi Inakuwa imepooa, na pia inakuwa ligi ya kichoko kweli, japo jamaa hajui mpira Ila namkubali saaana , ana create tension na kumtia adui hasira , game inakuwa hot Sana, aliichangamsha akili ya Ferguson, akaenda akawazindua Italy alaf akawaamsha Spain , uwepo wake kwenye ligi ni mhimu , vituo vya television vinampenda Sana , ukitafuta wacheza gambling wakubwa Duniani basi huyo jamaa anaongoza, fundi wa kuotea na majigambo.
sasa tunafanyaje sasa ?
 
Back
Top Bottom