Joseph Aoun Mkuu wa Majeshi achaguliwa kuwa Rais Lebanon. Marekani, Saudi Arabia na Israel zaahidi kumpa ushirikiano

Joseph Aoun Mkuu wa Majeshi achaguliwa kuwa Rais Lebanon. Marekani, Saudi Arabia na Israel zaahidi kumpa ushirikiano

Wanaume mmehalalishwa nyie mtafunane usijifanye hujui...usipingane na Biblia
 
Kila walipo kobazi jua kuna unafiki,umasikini na ujinga ulioenezwa na utumwa wa kifikra kupitia kurwan.
Sasa kwa nini Nyerere hakwenda kanisani kuombewa akaenda zake bagamoyo kwa mashekhe...wapi Nyerere aliona kuna haki
 
Kumbe kila jambo halitokei bila kuwa na sababu iliyojificha nyuma yake.

Hezibollar wamekuwa wakiiendesha Serikali ya Lebanon kwa mlango wa nyuma wakishirikiana na Syria pamoja na Iran.

Nchi imekaa bila Rais kwa miaka miwili kwa figisu za hao magaidi, akiwekwa Rais wasiye mtaka ama asiye na maslahi kwao, wanamuua mfano Rafik Hariri.

Kuchokoza kwao 'nyuki' ndiyo kumepelekea mageuzi haya makubwa wasiyoyatarajia.

Na huyu 'mjeda' huenda akawa muarobaini katika siasa za Lebanon na muda utaongea.
Hapo ndo umeeleza siasa za mashariki ya kati ndo zipo ivoo..
 
Wadau hamjamboni nyote?

Habari njema sana

Joseph ndiye Rais mpya Lebanon akichaguliwa kwa kura 99 kati ya 129

Amehudhuria mafunzo maalumu ya kijeshi ya kupambana na ugaidi nchini Marekani mwaka 2008

Mgombea anayeungwa mkono na magaidi ya Hezbollah amejitoa kwenye uchaguzi baada ya kuona mambo yamekuwa magumu


Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:


Lebanon army chief elected president, drawing Israeli hopes for postwar stability

US and Saudi-backed Joseph Aoun, tasked with upholding ceasefire ending fighting between Israel and Hezbollah, promises state monopoly on arms, ‘new phase’ for beat up country

By Agencies, ToI Staff and Lazar Berman Follow
Today, 8:06 pm


Lebanon’s lawmakers elected on Thursday army chief Joseph Aoun as president on Thursday, ending a stalemate that left the post vacant for two years, in a step toward lifting the war-battered country out of financial ruin and solidifying a ceasefire between Israel and the Hezbollah terror group.

Israel was swift to congratulate Beirut on picking Aoun, and Foreign Minister Gideon Sa’ar expressed hope for “good neighborliness” as the new Lebanese leader indicated that he would keep Hezbollah on a tight leash and uphold the fragile truce that ended its fight with Israel in late November.

Aoun was widely seen as the preferred candidate of the United States and Saudi Arabia, whose assistance Lebanon will need as it seeks to rebuild following Israel’s campaign against the Iran-backed Hezbollah.


The session was the legislature’s 13th attempt to elect a successor to Michel Aoun, whose term ended in October 2022. The two Aouns are not related.

Hezbollah had previously backed another candidate, Suleiman Frangieh, the leader of a small Christian party in northern Lebanon with close ties to deposed Syrian president Bashar al-Assad. However, on Wednesday, Frangieh announced he had withdrawn from the race and endorsed Aoun, clearing the way for the army chief.

“The president is Joseph Aoun,” Parliament Speaker Nabih Berri, an ally of Hezbollah, said after 99 lawmakers out of 128 backed his candidacy.


Aoun, who turns 61 on Friday, arrived inside parliament to swear his oath to general applause, wearing a dark suit and bright blue tie instead of his usual military uniform.

“A new phase in the history of Lebanon begins today,” he told the chamber, adding that he would call for “quick parliamentary consultations” on naming a new prime minister.

Aoun also vowed to ensure that the state would have “a monopoly” on the right to carry arms, referring to the Hezbollah terror group’s extensive arsenal, which he had not commented on publicly as commander of the Lebanese Armed Forces.

Lebanese forces have failed to uphold two UN Security Council resolutions demanding the disarmament of all of Lebanon’s various militias, and the withdrawal of Hezbollah north of the Litani River — about 30 kilometers (18 miles) from its border with Israel.

The ceasefire between Israel and Hezbollah signed in late November is the latest attempt by the US to encourage the Lebanese army to enforce the 19-year-old measure. Under the deal, Israel has until January 26 to withdraw its forces from southern Lebanon.

Aoun said that under his leadership, “the Lebanese state — I repeat the Lebanese state” would discuss a “comprehensive defense strategy” to ensure the withdrawal of all Israeli forces from southern Lebanon “and deter its aggression.”

The statement was met with loud applause from lawmakers, although Hezbollah parliamentarians sat sill.

He promised to rebuild south Lebanon and other parts of the country he said had been destroyed by the fighting with Israel.

“Today, a new phase in the history of Lebanon begins,” he said.

Despite the two nations’ official status as enemies, Sa’ar congratulated Lebanon on Aoun’s election, and expressed hope that it would “contribute to strengthening stability, a better future for Lebanon and its residents, and good neighborliness.”

US Ambassador to Lebanon Lisa Johnson said she was “very happy” with Aoun’s election as president.

His election reflected shifts in the power balance in Lebanon and the wider Middle East, with Iran significantly weakened by Hezbollah’s heavy losses at the hands of Israel as well as the collapse of the Assad regime in Syria.

It also indicated a revival of Saudi influence in a country where Riyadh’s role was eclipsed by Iran and Hezbollah long ago.

Iran’s embassy in Beirut nevertheless welcomed Aoun’s election and expressed hope for close cooperation between the two countries.

“We congratulate brotherly Lebanon for the election of General Joseph Aoun,” said the embassy in a statement on X, adding that “we look forward to working together… and to cooperate in different fields in a way that serves the common interests for our countries.”


As the head of the Lebanese military, Aoun had been tasked with upholding the US-brokered ceasefire between Israel and Hezbollah.
Kuna Sheikh alisema hiyo nchi haiongozwi na akina Josefu Yohana wala Yeremia, huyu imekuwaje?
 
Kakosea kioengele gani hapo, katibaya Lebanon inataka Rais lazima awe mfumo kristu.
Anayetakiwe kwenda shule hapo ni nani?
Lebanon ni parliamentary democracy state, inaongozwa na bunge ambalo kiongozi mkuu ni waziri mkuu kama ilivyo israel, kulikuwa na civil war wakaamua kugawa madaraka kwa kuangalia uwiano wa dini katika nchi yao
Sunni wapo 61% wao wamepewa nafasi ya uwaziri mkuu milele
Christians wapo 31% wamepewa nafasi ya uraisi milele
Shia wamepewa nafasi ya speaker milele

Kama ulikuwa hujui haya kama huyo kilaza ambae anajua kila nchi ipo kama tanzania,
 
Hezbollah ndo kawanyoosha mpaka wakakubaliana na ceasefire
Huna habari pigo walilopata Hezbollah mpaka wamenywea jamaa yao Assad nae kaondolewa na wao ndio waliokuwa wanazuia Lebanon isipate raisi sasa hivi kila mtu anawadharau.
 
Sidhani kama unaelewa siasa za Lebanon!
Umetoka kwa Suguye straight kwenye key board, hata mafuta uliyopakwa hayajakauka!

Ni hivi Lebanon kuna mgawanyo wa mdaraka kikatiba! Kiufupi:
Rais-ambaye ni ceremonial anatoka jamii ya Christians
Prime Minister- Ambaye ndiye huunda serikali na kusimamia anatoka jamii ya Sunni
Speaker Wa Bunge- Anatoka jamii ya Shia (Hizbullah)
Duuh ceremonial? Halafu unamshambulia mwenzako kijasiri kiasi hicho? Anyways, ipo hivi.

Rais (Mkatoliki wa Maronite)
  • Kulinda katiba na uhuru wa nchi.
  • Kumteua Waziri Mkuu baada ya kushauriana na Bunge.
  • Kusaini sheria zilizopitishwa na Bunge.
  • Kuongoza sera za ulinzi kama Kamanda Mkuu wa Jeshi.
  • Kusaini mikataba na makubaliano kwa kushirikiana na Baraza la Mawaziri.
Waziri Mkuu (Mwislamu kutoka Suni)
  • Kuongoza Baraza la Mawaziri (Cabinet) na kusimamia maamuzi yake.
  • Kuandaa ajenda za vikao vya Baraza la Mawaziri.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria zilizopitishwa na Bunge.
  • Kuunda na kusimamia utekelezaji wa sera za serikali.
  • Kuteua mawaziri kwa kushauriana na Rais na Bunge.

Spika wa Bunge (Shia)
  • Kusimamia vikao na mchakato wa kutunga sheria katika Bunge.
  • Kuongoza shughuli zote za Bunge.
  • Kufanya upatanishi kati ya makundi ya kisiasa ndani ya Bunge.
  • Kuongoza upigaji kura wa sheria na maazimio.
Lengo la katiba yao kuweka mgawanyo wa nafasi na majukumu namna hii ilikuwa ni kuzuia kundi/waumini fulani kuonekana kutawala lingine.
 
Lebanon ni parliamentary democracy state, inaongozwa na bunge ambalo kiongozi mkuu ni waziri mkuu kama ilivyo israel, kulikuwa na civil war wakaamua kugawa madaraka kwa kuangalia uwiano wa dini katika nchi yao
Sunni wapo 61% wao wamepewa nafasi ya uwaziri mkuu milele
Christians wapo 31% wamepewa nafasi ya uraisi milele
Shia wamepewa nafasi ya speaker milele

Kama ulikuwa hujui haya kama huyo kilaza ambae anajua kila nchi ipo kama tanzania,
Kuna sehemu nimebishi?
 
Sasa wewe kuolewa unaona halali kisa Papa kaidhinisha?...
dhambi ni dhambi tu. Siyo sababu Kabaka mtume mtoto wa Miaka 6 uone ni sahihi. Ushoga ni dhambi zote ni dhambi tu. Sasa Papa karuhusu kama nani?.Papa Amekataa kuwa na Mungu. Mungu naye amemuacha afate akili zake. Hii ni biblia soma. Warumi 1:26-28
26.Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
27.wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
 
Hizbullah ipi? Kimsimgi Hizbullah imeisha. Lakini pia Wa-Lebanon wakiwemo hao Hizbullah (Shia) wanaijua katiba yao iliyowapa mgawanyo wa madaraka na hawajawahi kuwa na shida na hilo. Shia wanajua kuwa nafasi yao katika mihimili ya nchi ni kutoka Spika wa Bunge, Suni nafasi ya waziri Mkuu na Christian nafasi ya Rais. Huu mgawanyo upo Kikatiba.

Hizbullah ni wanamgambo wa chama cha kisiasa cha Kishia kama Red Brigate ya CHADEMA au Green Guard ya CCM. Walidekezwa sana. Lakini kwa vile mirija yao imekatwa watajifia kifo chema.
 
Back
Top Bottom