Joseph Aoun Mkuu wa Majeshi achaguliwa kuwa Rais Lebanon. Marekani, Saudi Arabia na Israel zaahidi kumpa ushirikiano

Joseph Aoun Mkuu wa Majeshi achaguliwa kuwa Rais Lebanon. Marekani, Saudi Arabia na Israel zaahidi kumpa ushirikiano

Weeh mgalatia sikiliza kama unafuatilia mambo dini pia hasa uislam pia jaribu ufuatilie mpk mwsh huwezi kuniuliza papa kama nani...kwhy humjui kama nani?
Kwhy mtume Muhammad (S.A.W) ulimwengu wote ulijua kipindi hicho mpk kizazi hiki kwmb alibaka then mbakaji akaachwa tuu...inakuingia akilini kweli?
Bi Aisha (r.a) hakua na wazazi wala jamaa yanii kiasi mtume Muhammad (S.A.W ) alikua na maguvu sanaa mtemi mwny amri kiasi aogopwe asiguswe?
Mie sitaki kukuelimisha sanaa nimekupa simple logic tuu hebu nenda Google ukikuta alibaka nafunga ndoa na shoga
Cha mwsh haujanza wewe kumletea uzushi mtume Muhammad (S.A.W)
 
Huna habari pigo walilopata Hezbollah mpaka wamenywea jamaa yao Assad nae kaondolewa na wao ndio waliokuwa wanazuia Lebanon isipate raisi sasa hivi kila mtu anawadharau.
Hezbollah ndo wamemchagua huyo unaemsifia kwa hiyo moto ni ule ule
 
Hebu fuatilia siasa za Lebanon sasa hivi hata raia wanaongea hadharani kuishutumu Hezbollah bila woga zamani ilikuwa haiwezekani.
Hezbollah ipo sana tu Tena kwa sasa ndio moto wa kupoteza mbali Israel wanajua hilo.
 
Katiba ya Lebanon nzuri sana, ilishapiga marufuku Kobazi yoyote yule kuwa rais wao. Mwalimu Nyerere nae angechomeka hicho kipengele kwenye katiba yetu sasa hivi Kobazi wasingetuuza kwa DP WORLD.
Kobazi wako poa sema ni shortsighted maana hata huko Dubai au saud Arabia panasifiwa pamejengeka ila wakiamua TU ndani ya miezi 6 wanarudi kutembelea ngamia.
 
Back
Top Bottom