Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
HahahahaBi harusi anatakiwa awe ndani anapikwa ila yy kutwa kuzurura JF...huku anapata maroho ya kataa ndoa...😃😃😃😃😃
Bi harusi kachachuka🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaBi harusi anatakiwa awe ndani anapikwa ila yy kutwa kuzurura JF...huku anapata maroho ya kataa ndoa...😃😃😃😃😃
Natamani nikutie vibao kwanza utulie😃😃😃sema nyie vitoto vya Afu mbili bana...mpk mnaingia kanisani mpo na simu watsup....Hahahaha
Bi harusi kachachuka🤣
😹😹😹😹 nouma sana bi harusiWee taratibuuu ...mpka moyo umefanya paaah ooo maiii
Kaa kwa password 😹😹Nakuelewa sana 😊😄
Wapi tena haporaraa reree bro km hujatia hata kidole kwa bi harusi ukoo tunakutenga, wewe sio wa kwetu 😹😹😹😹
Kwa nyamwi, km msemaji wa ukoo tunakutenga 😹😹😹Wapi tena hapo
Hujambo rora?Wapi tena hapo
Sawa🤣Usiache kuleta mrejesho kwa dada zako hapa
Labella unanitosa kwa staili hiyo sio 😁Kwa nyamwi, km msemaji wa ukoo tunakutenga 😹😹😹
Lete habari Nyamwi255 😊Hujambo rora?
Unazingua 😆Wewe tumalize hapo uchukue goma hilo 😹😹
Kashakaa kibra chinja 😹😹Unazingua 😆