Joseph Guede amesajiliwa na Singida Black Stars, Bongo wageni wamefika

Joseph Guede amesajiliwa na Singida Black Stars, Bongo wageni wamefika

Mchezaji aliyeachwa na Young Africans, Joseph Guede leo amekuwa mchezaji kamili wa Singida black stars, ameungana na akina Kennedy Juma kuitumikia Singida Black stars

Mpira wa Tanzania unaendeshwa na wakubwa wachache sana na wao ndio wenye nguvu kwa wachezaji, wana uwezo wa kumzungusha mchezaji timu yoyote

Sasa nimemuelewa yule mheshimiwa aliyesema yeye ndie alimleta Dube Tanzania na pia Yeye ndie alimpeleka Aishi Simba, naona sasa kampeleka Dube Yanga na kamchukua Guede kwenda Singida.


View: https://youtu.be/THo1zANR3mc?si=fHAZCSUv9Vt7xVrr

Huyu jamaa si ilisemekana kapata dili la nje ya nchi so akaamua awaache YANGA!Kumbe yupo singidani
 
Back
Top Bottom