Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezaji aliyeachwa na Young Africans, Joseph Guede leo amekuwa mchezaji kamili wa Singida black stars, ameungana na akina Kennedy Juma kuitumikia Singida Black stars
Mpira wa Tanzania unaendeshwa na wakubwa wachache sana na wao ndio wenye nguvu kwa wachezaji, wana uwezo wa kumzungusha mchezaji timu yoyote
Sasa nimemuelewa yule mheshimiwa aliyesema yeye ndie alimleta Dube Tanzania na pia Yeye ndie alimpeleka Aishi Simba, naona sasa kampeleka Dube Yanga na kamchukua Guede kwenda Singida.
View: https://youtu.be/THo1zANR3mc?si=fHAZCSUv9Vt7xVrr
Mimi ni Singida na sio tena shabiki wa yanga kwa msimu wa 2024/25
😉😁😁😁wacha bana....Mimi ni Singida na sio tena shabiki wa yanga kwa msimu wa 2024/25
Yanga wameniudhi sana walivyomuacha Guede😉😁😁😁wacha bana....
Am horny love..Talk to me ma meeen
Damu ni nzito kuliko maji. Huyo Guede ni mpita njia tu. Ila Yanga itabakia daima.Mimi ni Singida na sio tena shabiki wa yanga kwa msimu wa 2024/25
Wamemwacha mubaba wako na alikua yuko vzr tuu alikua anakuja kwa kasi..wamemuondoa ili nafasi ya chama ipatikane dia..Yanga wameniudhi sana walivyomuacha Guede
Huyu bora ameenda tu kwa kweli.Yanga wameniudhi sana walivyomuacha Guede
Wapuuzi sana! Msimu ujao Singida tunachukua kombeWamemwacha mubaba wako na alikua yuko vzr tuu alikua anakuja kwa kasi..wamemuondoa ili nafasi ya chama ipatikane dia..
Tabia mbayaHuyu bora ameenda tu kwa kweli.
Siwataki!Damu ni nzito kuliko maji. Huyo Guede ni mpita njia tu. Ila Yanga itabakia daima.
Bora ameenda zake. Alikuwa anataka kuninyang'anya tonge mdomoni. Simtaki hata kumuona huyu. 😩Tabia mbaya
Siwataki!
Ushazeeka mrudie Mola wako!Bora ameenda zake. Alikuwa anataka kuninyang'anya tonge mdomoni. Simtaki hata kumuona huyu. 😩

Mchezaji aliyeachwa na Young Africans, Joseph Guede leo amekuwa mchezaji kamili wa Singida black stars, ameungana na akina Kennedy Juma kuitumikia Singida Black stars
Mpira wa Tanzania unaendeshwa na wakubwa wachache sana na wao ndio wenye nguvu kwa wachezaji, wana uwezo wa kumzungusha mchezaji timu yoyote
Sasa nimemuelewa yule mheshimiwa aliyesema yeye ndie alimleta Dube Tanzania na pia Yeye ndie alimpeleka Aishi Simba, naona sasa kampeleka Dube Yanga na kamchukua Guede kwenda Singida.
View: https://youtu.be/THo1zANR3mc?si=fHAZCSUv9Vt7xVrr
Kupima ugiligiliWapi tena hapo
Ephen kakasirika sanaKupima ugiligili
Hyko utamshangilia Guede tu,Timi ya ko ni Yanga.Mimi ni Singida na sio tena shabiki wa yanga kwa msimu wa 2024/25
Huko utamshangilia Guede tu,Timu ya ko ni YangaMimi ni Singida na sio tena shabiki wa yanga kwa msimu wa 2024/25