Joseph Kibwetere and Ugandan Cult Mass Murder/Suicide


Upo vizuri kaka... Blessed
 

MAKAFIRI ? MAKAFIRI ni kina nani?
 
View attachment 121810
Huyu jamaa sijui aliweza vipi kuwaconvince watu kuamini kwamba mwaka 2000 ndio mwisho wa dunia na kuwajaza kwenye kanisa na kuwatia kibiriti halafu ye akala kona.

Its amazing how faith sometimes can blind us.

Kama kina transfoma wanavyowadaganya majamaa wapande mbegu unadhani akiwaambiA wapande roho wwataacha?
 
Kuna watu wanapelekwa kama Misukule wanapelekwa pelekwa tu. Angalia hata makanisa ya kina fulani fulani. Yaani watumishi wako radhi kutoa hela wanaishi maisha magumu ila mwenye kanisa anatembelea Hammer Chopper etc anaishi pazuri
 
Historia yake huyu jamaa alishawah kuugua akili inaelekea hakupona vizuri ad kuja kuteketeza watu vile
 
"Mtangoja milele,na mtakufa bila kelele,kama walivyokufa wafuasi wa kibwetere"
kwa hisani ya Prof.J
 
Ina maana Interpol imeshisndwa kumkamata huyu jamaa??
 
Hana tofauti na hawa wanaosema wanafufua misukule,wanaponya vilema vipofu
 
Miaka 15 mpaka leo sijui kwanini wameshindwa kumkamata. Wengine wanasema labda nae alikufa na moto haijulikani mpaka leo. Kama kajifisha adi leo basi ametisha
Hukumu yake iko mbele ya Hakimu wa Haki,mbora wa kuhukumu.
 
Nizaidi ya mjuavyo

" What actually shocked the world more was the discovery of mass graves of more believers of this cult in different parts of the Uganda in places far from Kanungu that included Kampala. Shortly after the Kanungu massacre, 6 bodies were discovered in a pit next to where the leaders had just been living. As Ugandans and the world were coming to terms with how easily the cult had fooled everybody, 153 bodies were found under the floor of the cult's building at Buhinga, Rutoma, Rukungiri on March 25 2000. 155 more bodies were discovered in Rugazi, Bunyaruguru-Bushenyi on March 27 2000 under Fr. Kataribabo's house.

On March 30, 2000, another group of 81 bodies was found in Rushojwa, 35km north east of Kanungu. As if to disprove the general theory that the cult was restricted to south western Uganda, on 27 April 2000, 55 bodies were discovered in a mass grave at Buziga in Makindye division, Kampala.

No one can say with certainty that all related mass graves were discovered. At first, it was believed that the members of MRTC had willingly burnt to death in their Kanungu church, but pathologist reports indicated that many of the victims were clubbed, strangled or hacked to death and some were believed to have been poisoned prior to burning. Most of the dead were women and children."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…