Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Mb400 unastream nini??Nimecheka sana Mkuu, dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mb400 unastream nini??Nimecheka sana Mkuu, dah!
Well, ni sehemu ya credibility ya habari unazotupa.Sio shida zangu hizo.
hapo anatupanga. Bado sana... Kwa bongo. Na kwa content zipi tulizonazoNapenda sana unavyotoa taarifa sio kama wale wapumbavu wengine wanajifanya kuweka code ili waonekane wa maana.
But....
Streaming channel ya kibongo itakayokua sawa na Hulu, Netflix, Amazon Prime au Disney+ hapo anatupanga. Bado sana... Kwa bongo. Na kwa content zipi tulizonazo??
Duuh mimi naongea facts wewe unaona nataka kubishana. Ubishi uko wapi hapo!??Hakuna haja ya kubishana, June sio mbali.
Kwanini unaleta ubishani kwa kitu ambacho bado hujakiona? Halafu ndio unasema ni facts?Duuh mimi naongea facts wewe unaona nataka kubishana. Ubishi uko wapi hapo!??
Hebu mwenyewe tuambie. Kwa bei za bando zilivyo juu Tz, content zisizoeleweka na production producers wabovu waliopo kwenye industry hii. Unadhani kweli ataweza kua sawa na hao uliomlinganisha nao??
Ooh, ok mkuu.Nimeleta habari nyingi, na nyingi zimeonekana kuwa kweli. Lakini zaidi bado ninazo nyingi...
Ndio maana nikasema Ruge alikuwa mentor wa KusagaHili ni swali? Ruge alikuwa Ruge, alikuwa na akili na ubunifu.
Kitu gani ambacho sijakiona?? Swala la Mb kua ghali, Hzo content au hio streaming channel?Kwanini unaleta ubishani kwa kitu ambacho bado hujakiona? Halafu ndio unasema ni facts?
Mimi nimeleta kama habari, wewe ulikuwa unalifahamu hili? Kuhusu uwezo wa hiyo App kwanini usisubiri izinduliwe ndipo utoe maoni yako?Kitu gani ambacho sijakiona?? Swala la Mb kua ghali, Hzo content au hio streaming channel?
Kama ni hio Chanel basi nawewe bado hujaiona ukajua ufanisi wake u less wewe ndio uwe Developer wa hio channel.
Mimi napinga kuilinganisha na chanel hizo za wazungu coz kuna factor nyingi zinazoziwia isiweze kuchana anga.
Streaming channel ya Showmax kutoka Dstv imeshindwa kulingana nao ije kua hiyo ya joe inayotegemea content za kibongo.
an experienced and trusted adviserKwani Mentor kwako ina maana gani? Tuanzie hapo.
Same applies to your information. I call them information/theories bcoz there's no supporting docs on your claims.Mimi nimeleta kama habari, wewe ulikuwa unalifahamu hili? Kuhusu uwezo wa hiyo App kwanini usisubiri izinduliwe ndipo utoe maoni yako?
Hizi unazoleta ni nadharia.
Okay, sasa ni kwamba kwa mujibu wa Kusaga mwenyewe anasema wazo la redio alikuwa nalo yeye, akamshirikisha Ruge.an experienced and trusted adviser
Movie hizi za kibongo hata akisema nikiangalia nitalipwa sh elfu moja kila movie siangalii.Itakuwa safi sana sisi wapenda movie hakika tuta faidi dada Nifah
Umesema vyemakwa kuwa Kusaga alishauona uwezo wa akili na ubunifu wa Ruge akamkabidhi aiendeshe, the rest is history.