Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mm nilichoona ni umekua excited kwa kitu cha kufikirikaHukuona nilivyomwambia nashukuru kama anaamini andiko langu lilimgusa?
Na kwani unakuwaga na shida gani na mimi Mkuu? Tokea zamani nilidhani umeshaacha!
Sina shida yoyote na ww, na wala sikumbuki. Mm hukosoa lolote naloona halipo sawa, tatizo ni huwa hampendi kukosolewa